UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Anagegeda majike hata saba Kwa siku halafu anavizia tukiwa tunekaa na wife ndo anakimbiza na kugegeda mbele yetu shwain sana this duckMkuu acha maskhara....... anajua kugegeda kuliko wengine, umempimaje? Imebid nicheke tu
Huyo bata lazima kabila lake ni Msukuma, Wasukuma wana miungu mitatu, walwa (pombe), nyooo (Tukuyua.k.a pochi manyoya a.k.a papuchi) na nyama.Anagegeda majike hata saba Kwa siku halafu anavizia tukiwa tunekaa na wife ndo anakimbiza na kugegeda mbele yetu shwain sana this duck
Huyo bata lazima kabila lake ni Msukuma, Wasukuma wana miungu mitatu, walwa (pombe), nyooo (Tukuyu a.k.a pochi manyoya a.k.a papuchi) na nyama.Anagegeda majike hata saba Kwa siku halafu anavizia tukiwa tunekaa na wife ndo anakimbiza na kugegeda mbele yetu shwain sana this duck
Hahahaaaaaa!!!mkuu acha fixHuyo bata lazima kabila lake ni Msukuma, Wasukuma wana miungu mitatu, walwa (pombe), nyooo (Tukuyu a.k.a pochi manyoya a.k.a papuchi) na nyama.
Kama unabisha muulize Nyani Ngabu mzee wa Ikungulyabhashashi
Basi muulize Pascal MayallaHahahaaaaaa!!!mkuu acha fix
Subiri mpaka siku ukiwa umejilaza kibarazani akule mapumbu yako ndo umchinje.Hi great thinkers,
Mwaka jana mnamo January nilianza ufugaji wa bata wa kienyeji ili niongeze kipato cha familia.Nikanunua bata jike 5 na dume 3 nikaanza kuwatunza wakazaliana wengi.Nilipotaka mboga tamu sikusita kumkaanga mmoja kwa kitowewo.Utumbo niliukatakata na kuwatupia bata wale.
Tatizo bata mmoja dume amekuwa na tabia ya kula vifaranga wa kuku na bata Mara kwa Mara.Saa nyingine anawadonoa bata wenzie mgongoni na kunyofoa nyama kabisa.Halafu ndio dume ninae mtegemea kwa kuwagegeda majike kisawasawa.Hili lipoje kisayansi?
Nitamuuliza yohana pombe ya kupikaBasi muulize Pascal Mayalla
haaaa haaaa haaaaSubiri mpaka siku ukiwa umejilaza kibarazani akule mapumbu yako ndo umchinje.
Huyo ni Bata au ni Swain?Anagegeda majike hata saba Kwa siku halafu anavizia tukiwa tunekaa na wife ndo anakimbiza na kugegeda mbele yetu shwain sana this duck
Bata mla bataSijajua kitaalamu lipoje.
Lakini nakushauri muuze ununue dume lingine au mchinje ule nyama then ujipange upya kununua dume lingine.