Maajabu: Diamond ausifia na kuupost wimbo wa Alikiba

Maajabu: Diamond ausifia na kuupost wimbo wa Alikiba

Unatakiwa kuwaza kwa mapana kabla hujaandika.

Unasema hamsaidii kivipi?
Unataka apewe pesa?.

Kumbuka kupost huo wimbo umetufanya na sisi tujue kuwa Kiba ametoa wimbo tuutafute.
Huu ni msaada mkubwa mno.
Diamond ana wafuasi wengi ndani na nje ya nchi zaidi ya watu 10m wanamfuatilia.

Hivyo amemtangazia kazi yake kwa watu zaidi ya 10m.
Katika hao wakidownload watu hata 300 hapo hajamsaidia?
Uko vzr Bab mchungaji itabdi nikuteuwe uwe msemaji wa basata

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sioni Cha ajabu hapo,Kuna kukosana kunakupatana....huwez kuwa adui na mtu daima labda kama alitaka kukuua

Au akunyime kitu ulichoomba[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kambi zote zitanyooshwa, kama CDM & CCM sasa wanakula sahani moja, Kiba na Mondi kuotoa song, kilichobaki ni Jangwani na Msimbazi watusurprise.
 
Mondi huwa ni mzungu wa roho na ndio maana ana mafanikio,dogo Ali kiba huwa ana roho ya kichawi yule dogo na ndio maana hatoboi international.roho mbaya haijengi kwa sababu haina kiwanja
Kwahiyo mkuu katika Tanzania nzima msanii mwenye uzungu wa roho ni Mondi tu peke yake? Au una mfano mwingine wa msanii alietoboa international kwa sababu tu ana roho ya kizungu?

Inabidi uelewe katika kazi/biashara kila mmoja waga ana malengo yake, na ili kuyafikia hayo malengo lazima kuna vitu utalazimika kuvifanya

Sasa Mondi kila mtu anaona vile anawekeza katika promotion ya kazi zake, connection zake, investment,crew yake ni wazi kuwa yeye ana lengo la kutoboa international

Mafanikio yana definition tofauti sana, wewe kwa maisha yako inawezekana Unaonekana/unajiona umefanikiwa, ila ikawa tofauti kwa mtu mwingine ambae mpo katika level moja ya uchumi

Kwahiyo kwa kumuangalia tu Alikiba na aina ya mziki anaoufanya, investment, connection zake, promotion zake sio kweli kwamba anataka kwenda huko international kama baadhi yenu mnavomlazimisha

Alikiba ni wazi karidhika na hapo alipofikia na ndomana hatumii nguvu kubwa katika kazi yake ya mziki, inawezekana nguvu kubwa anaitumia katika kazi ingine ndomana mziki anaonekana anafanya kama ni passion tu na sio biashara kama ilivo kwa Diamond

Kama kuwa Mzungu wa roho ndio kigezo cha kufika international basi angeanza Kwanza kufika Dully akifatiwa na Mr blue kabla ya msanii mwingine yoyote yule hapa Tanzania

Diamond anastahili kuwa hapo alipo Kwa sababu amepapigania sana tangu ametoka kwenye game na wala sio issue ya uzungu wa Roho wala uswahili wa Nafsi
 
Kwahiyo mkuu katika Tanzania nzima msanii mwenye uzungu wa roho ni Mondi tu peke yake? Au una mfano mwingine wa msanii alietoboa international kwa sababu tu ana roho ya kizungu?

Inabidi uelewe katika kazi/biashara kila mmoja waga ana malengo yake, na ili kuyafikia hayo malengo lazima kuna vitu utalazimika kuvifanya

Sasa Mondi kila mtu anaona vile anawekeza katika promotion ya kazi zake, connection zake, investment,crew yake ni wazi kuwa yeye ana lengo la kutoboa international

Mafanikio yana definition tofauti sana, wewe kwa maisha yako inawezekana Unaonekana/unajiona umefanikiwa, ila ikawa tofauti kwa mtu mwingine ambae mpo katika level moja ya uchumi

Kwahiyo kwa kumuangalia tu Alikiba na aina ya mziki anaoufanya, investment, connection zake, promotion zake sio kweli kwamba anataka kwenda huko international kama baadhi yenu mnavomlazimisha

Alikiba ni wazi karidhika na hapo alipofikia na ndomana hatumii nguvu kubwa katika kazi yake ya mziki, inawezekana nguvu kubwa anaitumia katika kazi ingine ndomana mziki anaonekana anafanya kama ni passion tu na sio biashara kama ilivo kwa Diamond

Kama kuwa Mzungu wa roho ndio kigezo cha kufika international basi angeanza Kwanza kufika Dully akifatiwa na Mr blue kabla ya msanii mwingine yoyote yule hapa Tanzania

Diamond anastahili kuwa hapo alipo Kwa sababu amepapigania sana tangu ametoka kwenye game na wala sio issue ya uzungu wa Roho wala uswahili wa Nafsi
Umeongea vizuri Sana mkuu
 
Kwahiyo mkuu katika Tanzania nzima msanii mwenye uzungu wa roho ni Mondi tu peke yake? Au una mfano mwingine wa msanii alietoboa international kwa sababu tu ana roho ya kizungu?

Inabidi uelewe katika kazi/biashara kila mmoja waga ana malengo yake, na ili kuyafikia hayo malengo lazima kuna vitu utalazimika kuvifanya

Sasa Mondi kila mtu anaona vile anawekeza katika promotion ya kazi zake, connection zake, investment,crew yake ni wazi kuwa yeye ana lengo la kutoboa international

Mafanikio yana definition tofauti sana, wewe kwa maisha yako inawezekana Unaonekana/unajiona umefanikiwa, ila ikawa tofauti kwa mtu mwingine ambae mpo katika level moja ya uchumi

Kwahiyo kwa kumuangalia tu Alikiba na aina ya mziki anaoufanya, investment, connection zake, promotion zake sio kweli kwamba anataka kwenda huko international kama baadhi yenu mnavomlazimisha

Alikiba ni wazi karidhika na hapo alipofikia na ndomana hatumii nguvu kubwa katika kazi yake ya mziki, inawezekana nguvu kubwa anaitumia katika kazi ingine ndomana mziki anaonekana anafanya kama ni passion tu na sio biashara kama ilivo kwa Diamond

Kama kuwa Mzungu wa roho ndio kigezo cha kufika international basi angeanza Kwanza kufika Dully akifatiwa na Mr blue kabla ya msanii mwingine yoyote yule hapa Tanzania

Diamond anastahili kuwa hapo alipo Kwa sababu amepapigania sana tangu ametoka kwenye game na wala sio issue ya uzungu wa Roho wala uswahili wa Nafsi
Umetoa mifano isiyoendana kabisa, uzungu wa roho lazima uambatane na goals za artist, talent, determinations, intelligence, strategies na aggressiveness kwenye kupambania kufika international. Dully na Bayser qualities hizo hawana na pia si kweli kwamba Kiba hataki kutoboa international bali naye hana qualities za kumuwezesha kutoboa wala hana management yenye uwezo, connections na aggressiveness ya kumfikisha huko.
Talent peke yake haitoshi.
 
Back
Top Bottom