Maajabu haya yapo Tanzania peke yake

Maajabu haya yapo Tanzania peke yake

Magwa Jr

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2016
Posts
560
Reaction score
616
Hii inatokea TANZANIA peke yake kwakua wametwaa ubingwa ndio wamelazimisha kucheza nyumbani wakati ilipaswa kucheza ugenini hii ndo TANZANIA YETU kila sehemu kumeoza.Mama watoto niongeze ugoro [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Hii inatokea TANZANIA peke yake kwakua wametwaa ubingwa ndio wamelazimisha kucheza nyumbani wakati ilipaswa kucheza ugenini hii ndo TANZANIA YETU kila sehemu kumeoza.Mama watoto niongeze ugoro [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Sishangai viongoz wenu kuwaita WAPUMBAVU na MBUMBUMBU hawakukosea maana wanajua watu wanaowaongoza ni waaina gani
 
Hii inatokea TANZANIA peke yake kwakua wametwaa ubingwa ndio wamelazimisha kucheza nyumbani wakati ilipaswa kucheza ugenini hii ndo TANZANIA YETU kila sehemu kumeoza.Mama watoto niongeze ugoro [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Una uhakika ni Tanzania peke yake?
 
Mkiendelea kutafuta mchawi kwenye timu ya kimataifa, mtasubiri miaka ishirini kutengemaa..
 
Hii inatokea TANZANIA peke yake kwakua wametwaa ubingwa ndio wamelazimisha kucheza nyumbani wakati ilipaswa kucheza ugenini hii ndo TANZANIA YETU kila sehemu kumeoza.Mama watoto niongeze ugoro [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]

Acha bangi au hujui kuwa Yanga mgeni hapo leo?
 
Back
Top Bottom