Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Mwenye macho haambiwi tazama Leo Taifa kwa ujumla wamepata aibu yaani kwenye mechi ya Taifa starz VS DR Congo.
Mashabiki wa congo wengi kuliko mashabiki wa Taifa Starz ndani ya uwanja wa nyumbani B.W.Mkapa stadium? Kweli?
Hivi ni kwasababu watanzania hawapendi timu yao ya Tanzania au wacongo kwasasa hapa Dar es salaam ni wengi sana?
Mtaani wacongo wamejaa wanatubeza sisi ni watoto hatujui mpira.
Eti wanasema sisi watatusaidia kufuzu afcon kwa kuwafunga Ethiopia na Guinea. Na sisi Tanzania tushinde mechi zote ndy msaada wao kwetu kama majirana wao . Wanatupenda
Tokos.
Mashabiki wa congo wengi kuliko mashabiki wa Taifa Starz ndani ya uwanja wa nyumbani B.W.Mkapa stadium? Kweli?
Hivi ni kwasababu watanzania hawapendi timu yao ya Tanzania au wacongo kwasasa hapa Dar es salaam ni wengi sana?
Mtaani wacongo wamejaa wanatubeza sisi ni watoto hatujui mpira.
Eti wanasema sisi watatusaidia kufuzu afcon kwa kuwafunga Ethiopia na Guinea. Na sisi Tanzania tushinde mechi zote ndy msaada wao kwetu kama majirana wao . Wanatupenda
Tokos.