Maajabu: Inawezekana vipi mashabiki wa kigeni kuwa wengi kuliko wenyeji?

Maajabu: Inawezekana vipi mashabiki wa kigeni kuwa wengi kuliko wenyeji?

Ushindi umewafanya waonekane wengi ila kiuhalisia walikuwa wachache. Basi zilizowabeba zilikuwa kama 8 hivi.
65x8=520 ukichanganya na wengine hawafiki hata 1,000.

Ila wakongo wanajitoa sana kuisapoti timu yao licha ya baadhi yao kuzuiwa kuingia uwanjani.
Hata wanaosaidia simba nà yanga kushinda siyo wàtanzania. Sisi hatuna wachezaji hata wakishinda ni sawa tuu.
 
Mwenye macho haambiwi tazama Leo Taifa kwa ujumla wamepata aibu yaani kwenye mechi ya Taifa starz VS DR Congo.
Mashabiki wa congo wengi kuliko mashabiki wa Taifa Starz ndani ya uwanja wa nyumbani B.W.Mkapa stadium? Kweli?

Hivi ni kwasababu watanzania hawapendi timu yao ya Tanzania au wacongo kwasasa hapa Dar es salaam ni wengi sana?

Mtaani wacongo wamejaa wanatubeza sisi ni watoto hatujui mpira.
Eti wanasema sisi watatusaidia kufuzu afcon kwa kuwafunga Ethiopia na Guinea. Na sisi Tanzania tushinde mechi zote ndy msaada wao kwetu kama majirana wao . Wanatupenda


Tokos.
Tatizo hiyo timu imebinafsishwa imekuwa mali ya mwenyekiti wa CCM.
 
Wapo watz wengi walishangilia saana wakishirikiana na wacongo wachache.Huo ndio ukweli.Labda tutafute ni kwa nini.
 
Yuleyule ambaye sifa huwa zinaenda kwake kipindi cha matokeo mazuri hata sasa lawama zimuendee popote alipo.
Mpira ni starehe mtu kwenda uwanjani mpaka apende Mpira Sisi watz hatupendi soka tunapenda timu yaani S na Y tu. wakongo wanaoenda starehe hiyo sifa ya 1 kutokana na mtawala wao yaani France kwa hiyo lazima wazidi uwanjani hilo lisitupe lawama wazee wenzangu
 
Mpira ni starehe mtu kwenda uwanjani mpaka apende Mpira Sisi watz hatupendi soka tunapenda timu yaani S na Y tu. wakongo wanaoenda starehe hiyo sifa ya 1 kutokana na mtawala wao yaani France kwa hiyo lazima wazidi uwanjani hilo lisitupe lawama wazee wenzangu
Kwa hiyo Watanganyika kwetu mpira siyo starehe?
 
Back
Top Bottom