much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Wapo tiHao walikuja na timu au wapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo tiHao walikuja na timu au wapo?
Hahahahaha,wakongo wako ja furaha muda wote Hadi raha...RDC Eloko ya makasiBaadae ya mechi kitambaa kikata mauno wakongo bhana
Mitaa gani imejaa wakongo au ndio hawa waha weupe?Wapo ti
Ni wazalendo haswa nimekubali wanavyoisapoti timu yao.Aleez ale Leopards
RDC Eloko ya makasi
Ni wazalendo kwa nchi Hadi timu yao
Hata wanaosaidia simba nà yanga kushinda siyo wàtanzania. Sisi hatuna wachezaji hata wakishinda ni sawa tuu.Ushindi umewafanya waonekane wengi ila kiuhalisia walikuwa wachache. Basi zilizowabeba zilikuwa kama 8 hivi.
65x8=520 ukichanganya na wengine hawafiki hata 1,000.
Ila wakongo wanajitoa sana kuisapoti timu yao licha ya baadhi yao kuzuiwa kuingia uwanjani.
Tembea utawaona wapo wengi sio mpaka wajazane mtaa mmojaMitaa gani imejaa wakongo au ndio hawa waha weupe?
Tatizo hiyo timu imebinafsishwa imekuwa mali ya mwenyekiti wa CCM.Mwenye macho haambiwi tazama Leo Taifa kwa ujumla wamepata aibu yaani kwenye mechi ya Taifa starz VS DR Congo.
Mashabiki wa congo wengi kuliko mashabiki wa Taifa Starz ndani ya uwanja wa nyumbani B.W.Mkapa stadium? Kweli?
Hivi ni kwasababu watanzania hawapendi timu yao ya Tanzania au wacongo kwasasa hapa Dar es salaam ni wengi sana?
Mtaani wacongo wamejaa wanatubeza sisi ni watoto hatujui mpira.
Eti wanasema sisi watatusaidia kufuzu afcon kwa kuwafunga Ethiopia na Guinea. Na sisi Tanzania tushinde mechi zote ndy msaada wao kwetu kama majirana wao . Wanatupenda
Tokos.
Mpira ni starehe mtu kwenda uwanjani mpaka apende Mpira Sisi watz hatupendi soka tunapenda timu yaani S na Y tu. wakongo wanaoenda starehe hiyo sifa ya 1 kutokana na mtawala wao yaani France kwa hiyo lazima wazidi uwanjani hilo lisitupe lawama wazee wenzanguYuleyule ambaye sifa huwa zinaenda kwake kipindi cha matokeo mazuri hata sasa lawama zimuendee popote alipo.
Kwa hiyo Watanganyika kwetu mpira siyo starehe?Mpira ni starehe mtu kwenda uwanjani mpaka apende Mpira Sisi watz hatupendi soka tunapenda timu yaani S na Y tu. wakongo wanaoenda starehe hiyo sifa ya 1 kutokana na mtawala wao yaani France kwa hiyo lazima wazidi uwanjani hilo lisitupe lawama wazee wenzangu