Maajabu !! Jamani huyu shemeji yangu ni vipi?

Maajabu !! Jamani huyu shemeji yangu ni vipi?

Mhh! ndugu zangu wana jamii f.<br />
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.<br />
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:<br />
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.<br />
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi <br />
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.<br />
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.<br />
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.<br />
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.<br />
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.<br />
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.<br />
akimuuliza ananyamaza .<br />
Afanye je?
<br />
<br />
ana mapepo huyo, ni wa kufanyiwa deliverance
 
Huyo halmashaur ya kichwa yake ime be disturbed, aende hosptal haraka iwezekanavyo.
 
<br />

Do men need wanawake wengi????????

Sidhani kama wanawapata kihalali, huwenda wanawabaka ila wanawake hawasemi kuepusha embarasment!

Or kama ni kweli, labda crazy people (mental ill) kutokana na ugonjwa wao au kukosa reasoning they r trully themself (no conscious) na labda hiyo ni attraction to some women?
 
Huyo ana laana kama kamzingua hadi mama ake,mkajaribu Milembe mkishindwa mwacheni aendelee na vituko mana itakua laana
 
Huyo baba wa watu ni mgonjwa....Wanatakiwa kumpeleka haraka kwa daktari kabla hajaanza kuwachinja!

Na daktari specialist kwa tatizo na matatizo yake ni YESU peke yake,..
Lakini pia,nyie wote wanafamilia mnao mlalamikia inawapasa kumfuata YESU ili awaokoe na
kuibeba mizigo yenu,kumbukeni kwamba mtamlaumu sana huyo mwanaume,lakini
hata akifa leo,lazima mtambue kwamba ninyi pia ni chagizo la yeye kutenda yote hayo.

Laiti kama mngekua na imani kwa Mungu na kuomba kila mara,tatizo kama hilo lingetokea basi
mngejua jinsi ya kulishungulikia,siwahukumu,ila nawaambia kwamba ni mda sasa MUMPE YESU KRISTO MAISHA yenu
ili ayatawale,....

Anasema:-"NJOONI KWANGU NINYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KULEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA"

Sio maajabu ya huyo kaka anaewasumbua unayotaka tujadili hapa kama tatizo,ila ni maajabu ya kwenu pia kutokujua
nini cha kufanya jambo kama hilo linapotokea,....

Mleteni kwa YESU,na NJOONI KWA YESU pia amekwisha kulipia gharama za hayo yote yanayotokea sasa msalabani
na atawasamehe na kurejesha mahusiano mema BURE

jesus.png


Regards,
Speaker
 
Mnahitaji mabaunsa wa kumpeleka hospitali? najua watu wa aina hiyo ni vigumu kuwapeleka hospitali, hawezi kukubali ni mgonjwa.
 
Sielewi mtu aliyenitukania mamangu mzazi matusi ya nguoni bado nibebe mimba yake ?!

Anyways mpelekeni kwa wataalamu na jihadharini naye, anafanya kazi gani haswa?

Nakumbuka kuna technician mmoja anafufua majenereta ya kikoloni ila zikicharuka alikuwa anakimbiza watu site na mapanga, na ana mke na watoto, yeye anatibiwa kwa Dr Godapet Mbagala
 
huyo ni mgonjwa anahitaji matibabu haraka sana maana inavyoelekea atafanya kitu kibaya zaidi ya hicho
 
Laana hizo aende kwao akatambike. Huko kuanza kutukana wakwe tu ni dalili tosha kwamba laana ishamwingia. Akatubu huko alikokosea na ubaya wa laana, ni kwamba aliyelaaniwa mwenyewe hawezi kujitambua hadi nyie wa pembeni mmsaidie.
<br />
<br />
hamuachagi kurudi kwenye mianzi! Kamwene!
 
Mtu anafikia mpaka kunya kwenye ndoo za chooni na kuwacha choo halafu unauliza huyo dadaako afanyeje? Unanshangaza sana.<br />
<br />
Inaonesha huyo shemeji yako ana matatizo, dada'ko ana matatizo na wewe mwenyewe una matatizo. Nendeni Hospitali haraka sana.
<br />
<br />
Faiza wewe kiboko sijui kama atarudi kuomba ushauri tena.
 
Na daktari specialist kwa tatizo na matatizo yake ni YESU peke yake,..
Lakini pia,nyie wote wanafamilia mnao mlalamikia inawapasa kumfuata YESU ili awaokoe na
kuibeba mizigo yenu,kumbukeni kwamba mtamlaumu sana huyo mwanaume,lakini
hata akifa leo,lazima mtambue kwamba ninyi pia ni chagizo la yeye kutenda yote hayo.

Laiti kama mngekua na imani kwa Mungu na kuomba kila mara,tatizo kama hilo lingetokea basi
mngejua jinsi ya kulishungulikia,siwahukumu,ila nawaambia kwamba ni mda sasa MUMPE YESU KRISTO MAISHA yenu
ili ayatawale,....

Anasema:-"NJOONI KWANGU NINYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KULEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA"

Sio maajabu ya huyo kaka anaewasumbua unayotaka tujadili hapa kama tatizo,ila ni maajabu ya kwenu pia kutokujua
nini cha kufanya jambo kama hilo linapotokea,....

Mleteni kwa YESU,na NJOONI KWA YESU pia amekwisha kulipia gharama za hayo yote yanayotokea sasa msalabani
na atawasamehe na kurejesha mahusiano mema BURE

jesus.png


Regards,
Speaker

Inawezekana ukawa sahihi ila mara nyingi sipendi kuchanganya mambo. Medical problems need medical solutions. Hata hivyo wanaweza kuendelea na maombi ila ni muhimu sana kuonana na daktari haraka sana.

Sipendi mzaha kama ule wa kupeleka wagonjwa wa Ukimwi kwa Babu wa Loliondo!!
 
kuna kitu umeongea hapo very interesting aisee<br />
<br />
kwamba huyo mgonjwa wenu wa akili,anabadili wanawake kila siku...<br />
<br />
kwanini wagonjwa wa akili wanaweza kupata wanawake wengi kuliko<br />
watu wa zima kiakili.....nimeona kwa wengi hii kitu,....<br />
<br />
why women find mental ill men attractive???????
<br />
<br />
i real support u mbali na hapo wanapenda kuwaamini watu wanaowadanganya na kutoamini anayesema ukweli.
 
Mhh! ndugu zangu wana jamii f.<br />
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.<br />
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:<br />
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.<br />
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi <br />
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.<br />
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.<br />
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.<br />
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.<br />
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.<br />
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.<br />
akimuuliza ananyamaza .<br />
Afanye je?
<br />
<br />
poleni sana, chakufanya naona uchukue tahadhari mapema ya kumrudisha dada yako maana kwa hatua aliyofikia anaweza hata kumchinja dadako usiku,then upelekeni hospital
 
Back
Top Bottom