Kwidikwidi
Member
- Aug 19, 2011
- 27
- 12
<br />Mhh! ndugu zangu wana jamii f.<br />
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.<br />
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:<br />
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.<br />
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi <br />
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.<br />
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.<br />
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.<br />
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.<br />
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.<br />
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.<br />
akimuuliza ananyamaza .<br />
Afanye je?
<br />
Do men need wanawake wengi????????
Sidhani kama wanawapata kihalali, huwenda wanawabaka ila wanawake hawasemi kuepusha embarasment!
Or kama ni kweli, labda crazy people (mental ill) kutokana na ugonjwa wao au kukosa reasoning they r trully themself (no conscious) na labda hiyo ni attraction to some women?
Huyo baba wa watu ni mgonjwa....Wanatakiwa kumpeleka haraka kwa daktari kabla hajaanza kuwachinja!
<br />siku atamnyofoa dada yako sehemu zake kwa mikono nyie chekeni tu hapo
<br />Laana hizo aende kwao akatambike. Huko kuanza kutukana wakwe tu ni dalili tosha kwamba laana ishamwingia. Akatubu huko alikokosea na ubaya wa laana, ni kwamba aliyelaaniwa mwenyewe hawezi kujitambua hadi nyie wa pembeni mmsaidie.
<br />Mtu anafikia mpaka kunya kwenye ndoo za chooni na kuwacha choo halafu unauliza huyo dadaako afanyeje? Unanshangaza sana.<br />
<br />
Inaonesha huyo shemeji yako ana matatizo, dada'ko ana matatizo na wewe mwenyewe una matatizo. Nendeni Hospitali haraka sana.
Na daktari specialist kwa tatizo na matatizo yake ni YESU peke yake,..
Lakini pia,nyie wote wanafamilia mnao mlalamikia inawapasa kumfuata YESU ili awaokoe na
kuibeba mizigo yenu,kumbukeni kwamba mtamlaumu sana huyo mwanaume,lakini
hata akifa leo,lazima mtambue kwamba ninyi pia ni chagizo la yeye kutenda yote hayo.
Laiti kama mngekua na imani kwa Mungu na kuomba kila mara,tatizo kama hilo lingetokea basi
mngejua jinsi ya kulishungulikia,siwahukumu,ila nawaambia kwamba ni mda sasa MUMPE YESU KRISTO MAISHA yenu
ili ayatawale,....
Anasema:-"NJOONI KWANGU NINYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KULEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA"
Sio maajabu ya huyo kaka anaewasumbua unayotaka tujadili hapa kama tatizo,ila ni maajabu ya kwenu pia kutokujua
nini cha kufanya jambo kama hilo linapotokea,....
Mleteni kwa YESU,na NJOONI KWA YESU pia amekwisha kulipia gharama za hayo yote yanayotokea sasa msalabani
na atawasamehe na kurejesha mahusiano mema BURE
Regards,
Speaker
<br />kuna kitu umeongea hapo very interesting aisee<br />
<br />
kwamba huyo mgonjwa wenu wa akili,anabadili wanawake kila siku...<br />
<br />
kwanini wagonjwa wa akili wanaweza kupata wanawake wengi kuliko<br />
watu wa zima kiakili.....nimeona kwa wengi hii kitu,....<br />
<br />
why women find mental ill men attractive???????
<br />Mhh! ndugu zangu wana jamii f.<br />
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.<br />
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:<br />
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.<br />
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi <br />
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.<br />
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.<br />
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.<br />
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.<br />
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.<br />
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.<br />
akimuuliza ananyamaza .<br />
Afanye je?