Wandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu.
Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi hatujaonana na mwanamrembo huyo. Kwa kuwa nilikuwa nimejikoki niko sawa nikiwa na Rupia za kutosha, akili na mwili niko murua kabisa. Sina mawazo wala wasi wasi. Nilianza kupanga nae maandalizi toka wiki jana, na alionekana kuwa na shauku sana kuonana na mimi na alionekana ana Genye nyingi zimemjaa kweli kweli.
Mambo yalienda kombo kinyume na matazamio yangu. Kwanza tulianzia reception pale kuna resta ya maana tukachangamsha mwili na supu ya maana. Kumbuka hakuna msongamano wala fujo kutokana na kashikashi za Corona.
Baada kama saa moja hivi tukajichomeka ndani. Ilikuwa raha ukifika ndani lazima umwage razi yaani urudi utotoni kama ulivyozaliwa. Nasi tukafanya hivyo kukidhi mahitaji ya nature. Lakini cha ajabu bidada wangu kila ninachofanya ha respondi yaani mwitikio wake kama vile ananiogopa nina corona. Basi nikapunguza speed. Nikaona labda hayuko na mood vile.
Nikapiga reverse ya harakati zangu. Nikaanza na gia mpya shawishi mtuu weeee lakini wapi. Vuta huku vuta kule, shika hapa shika pale lakini mmh!! Kama niko na zombie vile au roboti. Badae sana nikaamua kusepa. Nilimtafutia Uber pale ikampeleka mpaka nyumbani kwake alipofika mida ya saa 1 jioni akanipigia simu akisema" I love u" nikajisemea moyoni "Go to the hell you big demon"
Usiku wa jana nikalala natafakari vituko alivyonifanyia. Bado sikupata majibu nikampandia hewani kuuliza nini hasa tatizo. Akanijibu eti ina maana wewe kila ukikutana na mimi unawaza mapenzi tu?? Nikamjibu sasa unataka niwaze nini kama hatujaonana mwaka mzima unataka nikikuona niwaze nini??
Wanadada mnisaidie kabla sijampiga chini huyu mwenzenu. Au kashanipiga chini yeye??
Asalaam Aleykum!
Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi hatujaonana na mwanamrembo huyo. Kwa kuwa nilikuwa nimejikoki niko sawa nikiwa na Rupia za kutosha, akili na mwili niko murua kabisa. Sina mawazo wala wasi wasi. Nilianza kupanga nae maandalizi toka wiki jana, na alionekana kuwa na shauku sana kuonana na mimi na alionekana ana Genye nyingi zimemjaa kweli kweli.
Mambo yalienda kombo kinyume na matazamio yangu. Kwanza tulianzia reception pale kuna resta ya maana tukachangamsha mwili na supu ya maana. Kumbuka hakuna msongamano wala fujo kutokana na kashikashi za Corona.
Baada kama saa moja hivi tukajichomeka ndani. Ilikuwa raha ukifika ndani lazima umwage razi yaani urudi utotoni kama ulivyozaliwa. Nasi tukafanya hivyo kukidhi mahitaji ya nature. Lakini cha ajabu bidada wangu kila ninachofanya ha respondi yaani mwitikio wake kama vile ananiogopa nina corona. Basi nikapunguza speed. Nikaona labda hayuko na mood vile.
Nikapiga reverse ya harakati zangu. Nikaanza na gia mpya shawishi mtuu weeee lakini wapi. Vuta huku vuta kule, shika hapa shika pale lakini mmh!! Kama niko na zombie vile au roboti. Badae sana nikaamua kusepa. Nilimtafutia Uber pale ikampeleka mpaka nyumbani kwake alipofika mida ya saa 1 jioni akanipigia simu akisema" I love u" nikajisemea moyoni "Go to the hell you big demon"
Usiku wa jana nikalala natafakari vituko alivyonifanyia. Bado sikupata majibu nikampandia hewani kuuliza nini hasa tatizo. Akanijibu eti ina maana wewe kila ukikutana na mimi unawaza mapenzi tu?? Nikamjibu sasa unataka niwaze nini kama hatujaonana mwaka mzima unataka nikikuona niwaze nini??
Wanadada mnisaidie kabla sijampiga chini huyu mwenzenu. Au kashanipiga chini yeye??
Asalaam Aleykum!