Maajabu! Je, namna iliyo rahisi kukutanisha vidole kwako ni ipi? Kushoto/kulia?

Maajabu! Je, namna iliyo rahisi kukutanisha vidole kwako ni ipi? Kushoto/kulia?

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Maajabu ya Mungu kaumba watu wa jinsi/namna mbalimbali! Fanya tuone.

UTAFITI: Kuna ambao wapo confortable kidole gumba cha kulia kikiwa juu, na wako ambao kile cha kushoto kikiwa juu ndio sahihi zaidi kwao. Fanya zoezi pichani kisha niambie je ni kushoto ama kulia?

Fingers crossed.jpg
Alikibafingers.jpg
diamondplatnumz_fingers.jpg
Harmonizefingers.png


JPMfingers.jpg
 

Attachments

  • SSHfingers.jpg
    SSHfingers.jpg
    33.8 KB · Views: 14
Hapo kwenye Mungu kuumba panatia sana ukakasi.
 
Maajabu ya Mungu kaumba watu wa jinsi/namna mbalimbali! Fanya tuone.

UTAFITI: Kuna ambao wapo confortable kidole gumba cha kulia kikiwa juu, na wako ambao kile cha kushoto kikiwa juu ndio sahihi zaidi kwao. Fanya zoezi pichani kisha niambie je ni kushoto ama kulia?

Wewe toa elimu

Mtu akiwa comfortable Kushoto maana yake nini na mtu akiwa comfortable kulia maana yake nini basi.
 
Wewe toa elimu

Mtu akiwa comfortable Kushoto maana yake nini na mtu akiwa comfortable kulia maana yake nini basi.
Pata hii kwa kuanzia: Hii explanation yake inatokana na kitu fulani wanabaiolojia wengine wanakikubali, wengine wanakataa.

Suala la kuwepo kwa ubongo wa kulia na ubongo wa kushoto
Ni kwamba wote tunazitumia pande zote mbili, ubongo mzima kuchakata taarifa na kufanya maamuzi

Ubongo wa kushoto una logics na mahesabu mengi[black and white zaidi] wakati ubongo wa kulia una ubunifu na hisia na [marangirangi mengi]
So ile hali ya kuvibe na kuflow na vitu ipo zaidi kulia na anayefikiria kuanzia kulia atatumia sana hii kwenye maamuzi ya harakaharaka so anajikuta outgoing. Inakuwa ni kama maji yanapokuwa mengi ndiyo unaflow nayo vizuri zaidi. Au rangi zinapokuwa nyingi ndiyo ubunifu unaongezeka. In short wanapenda kuvibe/kuparty flan ivi

Lakini huku kushoto kunakuwaga na kuchakata sana details na facts na malogic sasa unakuta huyu mtu kwanza ukimuoverload mambo/watu mengi inakuwa usumbufu. So anayefikiria kuanzia upande huu atapenda mazingira yenye vichache vya kuchakata ili achakate kwa raha. Anapata vingi vya kufanya kazi katika vichache vinavyomzunguka- Details

Mwisho mwishoni unakuta hawa watu wanakuwa na ka mtiririko fulani/continuuum inayoegemea upande anaoufavour zaidi. Anaojihisi confortable nao zaidi kulingana na yeye.

Kama ambavyo huwezi kumfosi mtu mwingine kwamba kuweka hicho kidole cha kulia tu, au kushoto tu ndio confortable way, ndivyo ambavyo hutakiwi kumfosi mtu kwamba kuwa na watu wengi au wachache ndio confortable way. Kila mmoja anaona vile anavyoona. Maajabu ya Mungu kaumba watu wa jinsi mbalimbali ili tutumikiane na tukamilishane hapa duniani✌

Hint: Maelezo nahisi yanachanganya zaidi ili uchanganyikiwe na wewe ukatafute taarifa zaidi. 'I believe the process of going from confusion to understanding is a precious, even emotional, experience that can be the foundation of self-confidence.- Brian Greene
 
Hii ilianzishwa kama poll kule kwenye habari na hoja mchanganyiko, sasa nilipoitafuta tena niifanyie kazi sikuiona kumbe imeletwa huku bhana!!

By the way nilifanikiwa 'kuhijack' uzi mmoja na kupata data nilizozihitaji ili kufikia mkataa huu wa post no #9.


Uzi unaoelezea moja ya implication ya hii kitu ni huu
 
Back
Top Bottom