hahaa...haina wasi.kwa mombasa mtachanganya mwanza na arusha......Oya tutaendelea kesho kesho job inshallah tutapambana vzr kesho hii ndio 2017 tukitoka hapa tunaenda kisumu na arusha alaf Nakuru na Zanzibar hahahhahah alaf kericho kwa tanga
Sijamaliza Mwanza bado hahahhahahaha utaifahamu vzr usijali sijagusa hotels vzr nilikua nagusagusa tu keaho tutapambana vyema alaf ujiandae kisumu kwa arusha, Nakuru na Zanzibar hahhahahahha alafu kisii na mbeya alafu Jericho kwa tanga yaaani hehehheheh will seehahaa...haina wasi.kwa mombasa mtachanganya mwanza na arusha......
Poa usiwaze hata HVO dar ilishaiburuza nairobi walikubali mzikiSiku mkiwa na battle na dsm cjui na mji gani huko kenya ntakuja kuchangia
hamna lolote mlilo buruza..thread ilijaa ushabiki mwingi tu,,apa nshkulemea vibaya ata huna jinsi.mwanza kwa msa bado tena sanaMaana dar ishawaburuza kwa nairobi, so tutamaliza kesho vzr ili tuendelee kisumu na arusha sasa ujipange vyema
mm nilikwambia mapema sana kwa dar muingize mombasa na kisumu isaidie nairobi yani nairobi kwa dar ni mji mdogo tena mdogo sana hahahahhahahahah yani 696 km squfananishe na 1590.5 km sq serious hahahhahahahah ukichukua nairobi +mombasa + kisumu munaishia 1196 km sq yani still kwa dar hamutoboi hahahahahahahhaπππππππππ yani ndugu dar iweke mbali kabisa hahahahahaha hio tulishawaburuza nje ndani , sasa tunakuja hapa alafu kisumu kwa arusha hahahahaha muone kama mutatoa kucha alafu nakuru na zanzibar hahahahahhaha alafu kericho na tanga yani hatoki mtu humu mpaka tumalizehamna lolote mlilo buruza..thread ilijaa ushabiki mwingi tu,,apa nshkulemea vibaya ata huna jinsi.mwanza kwa msa bado tena sana
ππππππ maana mombasa ni nzuri yenye majenngo yakizamani yamechakaaa hahahahhahahahaπππππKwani town zote za Tanzania ni sura mbaya except Arusha.
I hope Hiyo ni mwanza ugly