Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

relax niioshe hii mwanza na msa mpaka waingize mwanza....coz walisha leta dar jana
walileta nani alikua hajui wat goes on usijifanye unaongea sana tuli kma anachanganya ndani aingizeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hukubahatika kudadisi kuhusu mwanamume kumzimikia mwanamme mwenzie?
 

Mombasa = Dar
na hatuendelei mpaka uniambie hio daraja jina lake lipi na liko wapi saedeque msaidie kujibu mwenzakoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

msa nyali
nijibu kwanza hili daraja linaitwaje na liko wapi?????????????πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
nilijua utaingia mtegoni sasa nipe jibu hahahahahahahahahahah
 
na hatuendelei mpaka uniambie hio daraja jina lake lipi na liko wapi saedeque msaidie kujibu mwenzakoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nyali bridge..tumia google sai uione..dalili za kushindwa naona
 
hahaha umeiona nyali bridge ndo hio picha walieka kufananisha na sio hio hahahahahhaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ umeona yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…