Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

hahahhahaha ujanja ukiwa mwingi unakua mjinga umeoana nyali bridge hio unaleta picha ya kufananishia hahhahahahahhahahaha huu mwaka hatoki mtuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
umeanza kuishiwa au nni?
usizuge hapa usijifanye unachange mada unaniletea picha ya nchi za watu unasema nyali bridge hahahahahha nimekukameteni utamu sana hahahahahhahahahahπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahhahaha ujanja ukiwa mwingi unakua mjinga umeoana nyali bridge hio unaleta picha ya kufananishia hahhahahahahhahahaha huu mwaka hatoki mtuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
salala....yani unapinga hapo ni nyali...hujui mombasa kweli
 
Waah kumbe nyali inatishia ivi...kwanza ulikua unaclaim ulifika Mombasa ulifikaje bila kupitia iyo bridge
 
hahahah,hawa jamaa ni hatari kwa uongo.
mm nilijua lazima aingie mtegoni nilikua namsubiria yeye tu hahahahahhahaha wazee waku copy paste vya watu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ alafu anaongea kwa kujiamini anadhani mm mgeni mombasa hahahahahaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Hawa watu ni mafala nmegundua sasa...
Nyali wanakata Si mombasa....stupid
 
salala....yani unapinga hapo ni nyali...hujui mombasa kweli
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mm nakwambia hio picha ilikua kufananisha na sio nyali hahahaha acha ujinga wewe
fananisha kwa akili yako weweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Pinga google sasa..u are a big LOSER and u have proved u have never set foot in Kenya
 
hahaha umeiona nyali bridge ndo hio picha walieka kufananisha na sio hio hahahahahhaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ umeona yenyewe
View attachment 494682

sasa nini unapinga apo...look at the green billboard at the top left corner kwa pic yangu na yako.to the ryt of that angalia hizo nyumba za white in both pics.the only difference yako ni ya zamani before sheheena marina ianze kujengwa.ama ata hujui sheheena imejengwa wapi
 
Pinga google sasa..u are a big LOSER and u have proved u have never set foot in Kenya
nimekwambia hio picha ilikua kufananishia na sio real pic ya nyali we mbona unakua jingaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahahaha mm nimekwambia hio picha ilikua inafananishwa na nyali lakini sio nyali kama nyali elewa kiswahili hahahahahahhaha hatoki humu mtu
 
Pinga google sasa..u are a big LOSER and u have proved u have never set foot in Kenya
hahaaa..ni dalili za kushindwa.huyu jamaa anadhani kwao ndio wanajenga peke yake,hajui joho ata aliinstall new street lights apo nyali bridge..nadhani alifika mwisho 1994 mmi...hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…