NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wananchi
Poleni Sana nimepata malalamiko yenu Kuwa taasisi za umma kama msikiti,makanisa,shule ya msingi Loya Bondeni,shule ya sekondari Loya na cha ajabu kabisa hata kituo cha polisi cha Loya eti hakuna umeme!
Nilipo jaribu kuwahoji wahusika wanaotokea kata Hiyo tatizo hasa ni nini!!?
"Surveyor wa Tanesco aliekuja alifanya survey eneo la Kati hapo pekee kwenye wafanyabiashara wa maduka halafu kwingine aliacha kabisa ndio Maana umeme umeishia senta pekee hata baadhi ya mitaa HAINA umeme kabisa ikiwemo Taasisi za umma na serikali kwa ujumla""
Kwa taarifa nilizonazo ni Kuwa nyumba NYINGI hazina umeme kuliko zenye umeme na shirika linahujumiwa kwa kukosa wateja wa UMEME.
Katika kata Hiyo UMEME umefanywa kuwa dili kwa uuzaji holela wa nguzo HIZO kwa wenye uwezo wa kuzinunua kuliko ilivyo utaratibu wa KAWAIDA.
Nimuombe Mbunge mwenye dhamana afanye hima kuwapigania wananchi wake wapate huduma hiyo kwa haraka Ili Tanesco wapate mapato ya kuendeleza miradi ya uzalishaji umeme nchini.
Ni matumaini yangu kuwa Mbunge wa Igalula venant Protas BADO ana ari ya kuwapigania wananchi wa Jimbo lake.
Asanteni kwa kusoma.
Poleni Sana nimepata malalamiko yenu Kuwa taasisi za umma kama msikiti,makanisa,shule ya msingi Loya Bondeni,shule ya sekondari Loya na cha ajabu kabisa hata kituo cha polisi cha Loya eti hakuna umeme!
Nilipo jaribu kuwahoji wahusika wanaotokea kata Hiyo tatizo hasa ni nini!!?
"Surveyor wa Tanesco aliekuja alifanya survey eneo la Kati hapo pekee kwenye wafanyabiashara wa maduka halafu kwingine aliacha kabisa ndio Maana umeme umeishia senta pekee hata baadhi ya mitaa HAINA umeme kabisa ikiwemo Taasisi za umma na serikali kwa ujumla""
Kwa taarifa nilizonazo ni Kuwa nyumba NYINGI hazina umeme kuliko zenye umeme na shirika linahujumiwa kwa kukosa wateja wa UMEME.
Katika kata Hiyo UMEME umefanywa kuwa dili kwa uuzaji holela wa nguzo HIZO kwa wenye uwezo wa kuzinunua kuliko ilivyo utaratibu wa KAWAIDA.
Nimuombe Mbunge mwenye dhamana afanye hima kuwapigania wananchi wake wapate huduma hiyo kwa haraka Ili Tanesco wapate mapato ya kuendeleza miradi ya uzalishaji umeme nchini.
Ni matumaini yangu kuwa Mbunge wa Igalula venant Protas BADO ana ari ya kuwapigania wananchi wa Jimbo lake.
Asanteni kwa kusoma.