Maajabu: Kamati yataka Malinzi apitishwe bila kuwepo

Hawa wajumbe wasisikilizwe, wanachangia sana kuharibu na kuvuruga soka kwa kutuwekewa viongozi wasiostahili, utanismehe mkuu kama Malinzi hata ukimwangalia tu anaonekana ni mweupe kwenye soka
 
Hawa wajumbe wasisikilizwe, wanachangia sana kuharibu na kuvuruga soka kwa kutuwekewa viongozi wasiostahili, utanismehe mkuu kama Malinzi hata ukimwangalia tu anaonekana ni mweupe kwenye soka
Kuna vitu vingine vinatia hasira. Malinzi anataka kujifanya kota pini ya baiskeli!
 
Hao wanaotaka Malinzi apitishwe bila uwepo wake ni kwa sababu walikuwa wanakula naye sahani moja, majambazi wanateteana siku zote.
 
wadhamini walione hili swala..
 
wanaofanya interview ya kuomba kazi hawapati kazi,,ambao hawafanyi interview wanapata kazi hahahaha
 
Huwezi kusailiwa bila kuwepo! Wakitaka waahirishe uchaguzi hadi Malinzi atoke ili wamsaili! Vinginevyo hicho ni kituko kinachopatikana bongo tu!
 
Malinzi alishatoa mwongozo kama mbwai na iwe mbwai.
Alishaandaa wajumbe kifikra na kifedha kuwa anastahili kuongoza TFF kwa miaka mingine minne.

Anahisi ni mchezo anachezewa wa kukamatwa siku chache kabla ya usaili na uchaguzi ili awe disqualified.

Sasa ameamua kutumia wajumbe ili kuleta sintofahamu. Naona ameshakuwa na ujasiri wa Ndolanga .....
 
wako sahihi bingwa mtetezi hawezi pita kwenye mchujo
 
Malinzi ni watuhumiwa, hawana kosa mpaka sasa huwezi kuwamosesha kuchaguliwa
 
Wakilazimisha kumchagua malinzi ndo wanamuangamiza maana serikali itampiga mvua ya miaka jela
 
Kwani uchaguzi mkuu wa 2015 Bw.Malinzi alikuwa upande gani vilee?
 

Nakumbuka ya jangiri Hassan Hasanoo hivi hivi sijui kafia wapi Simba mnavibaka wengi wanaishi kiujanjaujanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…