Sir Good
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 1,031
- 412
Hahahahahah, mkanda kajifunga shingoni!, kweli huyu kafanana na Kanyumbu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani mambo mengine picha muhimu Sana ili nasitufananishe.wengine hatujaona
Weka picha tumuone hyo mtu
Ndugu jana kuanzia saa moja na nusu jioni Star tv alioneshwa msanii mmoja akihojiwa ambaye mpaka waandishi wa habari alimwambia "yawezekana wewe siyo kanumba ila umefanana naye kila kitu"
Huyu jamaa anafanana marehemu kwanzia kimo,sauti,mwonekano mpaka kucheka na kibaya zaidi anaonekana kaigiza muvi na akina Jenifa ..tulishindwa kuamini,yeyote aliyeona atupe maoni ya hili
AH... Ni huyu wa round about ya ymca moshi.....
nilikuwa sijui....Ndo kanumba
Wamefanana kiasi tu ile sura ya kitusii
Huyu hapa mkuu amefanana sana na Kanumba.View attachment 164240
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app