Maajabu: Kanumba mpya huyoo!

Maajabu: Kanumba mpya huyoo!

jamani mambo mengine picha muhimu Sana ili nasitufananishe.wengine hatujaona
 
jamani mambo mengine picha muhimu Sana ili nasitufananishe.wengine hatujaona

Weka picha tumuone hyo mtu

Ndugu jana kuanzia saa moja na nusu jioni Star tv alioneshwa msanii mmoja akihojiwa ambaye mpaka waandishi wa habari alimwambia "yawezekana wewe siyo kanumba ila umefanana naye kila kitu"

Huyu jamaa anafanana marehemu kwanzia kimo,sauti,mwonekano mpaka kucheka na kibaya zaidi anaonekana kaigiza muvi na akina Jenifa ..tulishindwa kuamini,yeyote aliyeona atupe maoni ya hili

Jamaaa ni huyu hapa!
View attachment 164069
 
Jamaa anaitwa philimon huyo hapo kushoto
 

Attachments

  • 1402426604948.jpg
    1402426604948.jpg
    52.1 KB · Views: 598
Hahahahaaa duh hapo atakaebisha ana yake

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Huyu hapa mkuu amefanana sana na Kanumba.ImageUploadedByJamiiForums1402487323.817222.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom