OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
we ni k kubwa sahvi sangapi?umewahi kusikia wapi watu wanalala asubuhi?ndyo mana nimesema upo nje ya nchi.
Acha ubishi wa kijjjiinga ,wengine ndo tunatoka job saa hizi humu bongo we ukilala salama ujue wengine wamekesha ili we ukorome vizuri!!!!!!
Tena mvua na baridi kama kawa!!!!!!
Kajenge nchi wengine wapumzike ili ukiangalia mechi usiku Bar kuwe na amani!!!!!!
Kulala ni suala la majukumu sio muda!!!!!