Maajabu katika Shule ya Msingi Manyoni Singida

we ni k kubwa sahvi sangapi?umewahi kusikia wapi watu wanalala asubuhi?ndyo mana nimesema upo nje ya nchi.

Acha ubishi wa kijjjiinga ,wengine ndo tunatoka job saa hizi humu bongo we ukilala salama ujue wengine wamekesha ili we ukorome vizuri!!!!!!

Tena mvua na baridi kama kawa!!!!!!

Kajenge nchi wengine wapumzike ili ukiangalia mechi usiku Bar kuwe na amani!!!!!!
Kulala ni suala la majukumu sio muda!!!!!
 
kibogo ,wacha kuona waTZ hawana akili yaani madarasa mawili watoto 500 kila darasa 250? Hebu tueleze ukubwa wa darasa ukoje! Au wanasomea chini ya mwembe?
 
Last edited by a moderator:
Bado naongea na wananchi au wakazi wa maeneo hayo. Hakuna waliomalizaform 6 au diplomas au degress na hawajapata kazi wajitolee kuwanasua wadogo zao?
Miaka ya 80 kulianzishwa azimio la musona ambapo form 6 wote walifundisha kabla ya kwenda chuo. Ilisaidia sana kupunguza pengo la waalimu. Siongei siasa . Nawaza elimu ya hawa watoto. Serikali za vijiji na halmashauri wafanye jambo.
 


Ha ha ha Mkuu ahsante umenijibia maana humu siku hizi tumevamiwa na Akili za ajabu afadhali ya mwewe....
 

Kwa nini wajitolee wakati walimu wapo hawaajiriwi????!!!!!
It is high time system iamke na kuangalia needy communities!!
 
ni hao wanaokesha mm c hao wanaokesha.

Sasa mbona uliuliza nimeona wapi watu wanalala asubuhi?


Tumia kichwa kufikiri halafu huku hakukufai nenda kajadili Mpira na mapenzi kule....
 
Bila shaka kuitaja shule kwa jina lake ni ushahidi tosha kwa asiyeamini anaweza kwenda kutaguta uhakika huko..by the way hali hiyo ipo maeneo mengi haswa ya ukanda wa kati..bila shaka hii inachangiwa na nature ya mazingira na watu wenyewe wa maeneo husika...sometimes siyo lazima kila lawama kuirushia serikali......hata huko walikopiga hatua wapo wati waliojitoa na kuumia kwaajili ya maendeleo ya eneo lao...cha kufanya ni kuondoa siasa katika mambo yanayohitaji utekelezaj zaidi maana kwa kuwasikiliza wanasiasa kama kina T.L matokeo yake ni kuendelea kubaki gizani.......wazazi hawapo tayari kushiriki katika shughuli za kimaendeleo ....wanaamini kila kitu serikali itafanya.....hata kutoa kashilingi 1000tu ili mtoti ale uji na chakula cha.mchana shuleni mzazi hataki etti ni kazi ya serikali...just imagine.kwa uelewa wa kawaida kiasi hicho cha pesa mtu anakula siku ngapi katika hali ya kawaida??!!!!sasa kama dogo hivyo linawashonda sembuse hayo mazito ndio wataweza??!!!bado kuna safari ndefu ya.kuwafikisha hawa watu wahuu ukanda kule wanapotakiwa kwenda...ni safari ndefu mno
 

pole na majukumu unalinda kwa wahndi?pole sna ndyo ajira zetu serikali iliyotuwezesha kujiajiri.pole sna ndgu angu
 
huko kwa chiligati ccm inanguvu balaa wananchi wako hoi
 

harambee ya kuajiri walimu au? Na huyo lisu anawashawishije watu kutokuchangia maendeleo katika maeneo yao? Jaribu kuona zaidi ya uonavyo juu ya fedha lukuki zinazotolewa kwa ajili ya miradi hewa huko kwenye halmashauri yako na ujiulize ni miradi mingap iliyowahi kukamilika kwa 100%. Anza na wilaya yako. Kisha utuambie wilayani kwako umeshachangia mradi gani? Ulikamilika? Kama siyo itakuwa lisu alipita kwenu kuwakataza siyo? Kubali tu kuwa serikali yako imeshindwa kwa kila kitu hata kumwajiri mwalimu kwa mshahara wa sh. 180,000/= haiwezi bali kumlipa mbunge sh. 300000/= kwa siku inawezekana! Oneni aibu ccm loh!
 
pole na majukumu unalinda kwa wahndi?pole sna ndyo ajira zetu serikali iliyotuwezesha kujiajiri.pole sna ndgu angu

Bora ingekuwa kwa muhindi mzee,nalinda vituo vipya vya mabasi yaendayo kasi!!!!!
 
Nyie akina Lusungo nitawapiga Ban sasa..msitusumbue kujibizana mambo ya ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…