Labda na mimi niongeze kitu.
Kuna dada alikuwa anauza nguo online, wakati wa kupiga story kasema
Ananunua.
1. Shati 12000
2. T-shirt 12000
Sasa nikamuuliza wewe unachukulia wap?? Kasema kariakooo!
Kuna siku nikamwomba nimpeleke kariakoo nikamwoneshe machimbo.
Nikampeleka sehemu ambazo
1. Shirt na t-shirt ni 8000
Ninachotaka kusema ni kwambaa biashara ni siri na kila mtu anajua sira ya kile anachokifanya.
Mfano. Fred vunja bei, sio kwamba ety mchawi hapana, yeye anataka faida ndogo na vitu vyake ni quality.