Maajabu: Mama ajifungua Samaki Kigoma!

Maajabu: Mama ajifungua Samaki Kigoma!

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
530
Wiki iliyopita kulikuwa na habari ya kushtusha TBC1. Iliripotiwa kuwa Mama Mmoja huko Nguruka mkoani Kigoma alijifungua Samaki aina ya Kamongo na Mtoto (mwanadamu). Kabla ya kujifungua mtoto wa kawaida, mama huyo alijifungua kwanza Samaki huyo ambaye alizaliwa mzima kabla ya kufaa baada ya muda mfupi. Baada ya Samaki huyo kuzaliwa, alizaliwa na mtoto (mwanadamu) ambaye alizaliwa akiwa amekufa.

Mama huyo aliruhusiwa kutoka hospitali baada ya siku moja baada ya hali yake kuwa nzuri.

Duniani maajabu hayaishi.
 
Hii habari ngumu sana kuiamini, manake binadamu kuzaa samaki, yawezekana huyo Mama alikuwa azae mapacha, lakini zile stages za development za mtoto mmoja zikawa normal na za huyo kama Kamongo ikawa abnormal, hivyo hakufikia hali ya kuonekana mtu kamili. Lakini kuzaliwa mzima, mmhh!. Ilitakiwa ufanyike uchunguzi wa DNA za hicho kiumbe Kamongo na Mama mtu. Nampa pole Mama na ndugu manake huo ni mtihani.
 
Hii kali kaka! Duh! Mambo ya ndumba nini?
 
Back
Top Bottom