Maajabu mazishi ya Prince Phillip: Mahubiri marufuku kanisani, marufuku kuimba nyimbo za kwaya na Marufuku bendera kuwa nusu mlingoti

Maajabu mazishi ya Prince Phillip: Mahubiri marufuku kanisani, marufuku kuimba nyimbo za kwaya na Marufuku bendera kuwa nusu mlingoti

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Leo ndio mazishi ya Prince Philip wa Uingereza waweza angalia moja kwa moja tv ya SKYNEWS

Maandalizi yote ya msiba wake aliyaanda mwenyewe kabla kufa na ratiba aliindaa mwenyewe.

Katika maagizo aliyoagiza ni kuwa ni maruku padre kuhubiri mahubiri mahubiri kwenye msiba wake na kanisani. Mahubiri marufuku.

La pili kwaya itakuwa na wakwaya wanne tu na watakapokuwa wakiimba wahudhuriaji hawatakiwi kuimba nao nyimbo zao za kwaya .Wawaangalie tu wakiimba.

Askofu Mkuu kakubaliana na wosia wake akasema watafanya kama alivyousia mwenyewe.Sipati picha ingekuwa Tanzania ujipangie ibada yako iweje!

Pili ni marufuku kushusha bendera nusu mlingoti sababu ufalme ni kitu cha kuendelea na kinatakiwa kuwa juu siku zote hakuna siku utakuwa chini nusu mlingoti au chini mlingoti.

Waweza fuatilia live hapa.

 
Halafu anakuja mwafrika anakwambia yupo tayari kuifia dini/dhehebu lake. Wakati walioieneza wenyewe ndio kama hivyo.
 
Waweza angalia live mazishi yake hapa

 
Watanzania tumezoea tukibeba jeneza kichwa cha marehemu kinakuwa mbele unakokwenda. Jeneza la Prince Phillip miguu ndio inakuwa mbele kichwa kinaangalia nyuma.
 
alisharudi kwenye Hali ya UTOTO.

Hata malkia naye wangempumzisha.

Ipo siku atakuja kutoa maamuzi ya ajabu.
 
Sehemu ya kuzika wamefanya siri haikuonyeshwa kabisa akizikwa kaburini. Ni washirikina.
 
Watanzania tumezoea tukibeba jeneza kichwa cha marehemu kinakuwa mbele unakokwenda ,Jeneza la Prince Phillip iguu ndio inakuwa mbele kichwa kinaangalia nyuma
Itakua wameficha sura aisee

Kuna picha walimpiga akitoka hosp daah the man looked like a ghoul
 
Mbona masharti ya kawaida, kuna mwamba mmoja mwanasheria wa TLS alifariki na kuacha masharti kibao.
 
Back
Top Bottom