Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Embu tuambie ana C ngapi kwanza kwa kuwa issue sio division ila ni credit
Bila kufanya hivyo baadhi ya shule zisingepata wanafunzi wa form V, kwahiyo credit mbili na D kadhaa wamechaguliwa..!!Habari wakuu!!
nina rafiki yangu niliyemaliza nae kidato cha nne, baada ya post kutoka nae kachaguliwa shule ya kigonsela high school na ana div 4 ya 26 na mimi nimechaguliwa J.J.Mungai high school, sasa hawa necta walikosea au walidhamiria? maana wapo wengi wenye 4 za 26
Ngoja na mi nikaangalie maana mi nina c ya bio na chem
kwa hali private school zitakuwa na watu kweli?
Habari wakuu!!
nina rafiki yangu niliyemaliza nae kidato cha nne, baada ya post kutoka nae kachaguliwa shule ya kigonsela high school na ana div 4 ya 26 na mimi nimechaguliwa J.J.Mungai high school, sasa hawa necta walikosea au walidhamiria? maana wapo wengi wenye 4 za 26
Mbona mtu kaenda PCM na masomo ya arts tupu! tena toka Marian !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ana C mbili tu, ya civics na English
Kama ana C mbili kutakua na tatizo kwa kuwa minimum requirement ili uweze kufanya mtihani wa A-level ni C tatu anatakiwa aconfirm na wizara kwanza otherwise anaweza poteza muda wake
Sijasikia kuwa NECTA wameshusha viwango vya kufanya mtihani wa form six. Je umeshuhudia kwa macho yako kuwa ana C mbili tu na amechaguliwa kwenda form five au ni yeye aliyekueleza? Nauliza hiyvo kwa sababu sifa ya kuchaguliwa kwenda form five ya serikali ni lazima uwe na C tatu na kuendelea. Sasa kama rafiki yako kapata kwa C mbili basi kuna makosa somewhere. Ni heri afuatilie apate uhakika vinginevyo atakwama huko mbele, hatafanya mtihani wa form six.ana C mbili tu, ya civics na English
Habari wakuu!!
nina rafiki yangu niliyemaliza nae kidato cha nne, baada ya post kutoka nae kachaguliwa shule ya kigonsela high school na ana div 4 ya 26 na mimi nimechaguliwa J.J.Mungai high school, sasa hawa necta walikosea au walidhamiria? maana wapo wengi wenye 4 za 26
Nina uhakika mkuu ana C mbili tu, ndo maana nikaamua kuileta hii thread ili nijue kama necta wanachukua hadi dv 4 point 26 au la, ila mimi ninachoona labda kuna tatizo wamelifanya necta.Sijasikia kuwa NECTA wameshusha viwango vya kufanya mtihani wa form six. Je umeshuhudia kwa macho yako kuwa ana C mbili tu na amechaguliwa kwenda form five au ni yeye aliyekueleza? Nauliza hiyvo kwa sababu sifa ya kuchaguliwa kwenda form five ya serikali ni lazima uwe na C tatu na kuendelea. Sasa kama rafiki yako kapata kwa C mbili basi kuna makosa somewhere. Ni heri afuatilie apate uhakika vinginevyo atakwama huko mbele, hatafanya mtihani wa form six.