Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Habari wakuu!!
nina rafiki yangu niliyemaliza nae kidato cha nne, baada ya post kutoka nae kachaguliwa shule ya kigonsela high school na ana div 4 ya 26 na mimi nimechaguliwa J.J.Mungai high school, sasa hawa necta walikosea au walidhamiria? maana wapo wengi wenye 4 za 26
nina rafiki yangu niliyemaliza nae kidato cha nne, baada ya post kutoka nae kachaguliwa shule ya kigonsela high school na ana div 4 ya 26 na mimi nimechaguliwa J.J.Mungai high school, sasa hawa necta walikosea au walidhamiria? maana wapo wengi wenye 4 za 26