FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Baada ya kujaribu mara kadhaa ili niamke na kushindikana nikaona isiwe tabu, wacha nitulie tu labda nitaamka mwemyewe tu, lakini ikawa inashindikana.
Baada ya kuwaza kidogo, nikaona nijaribu ku-imagine naendesha V8 nione itakuwaje, kweli bhana, kugeuza shingo naona V8 nyeusi kalii imeandikwa jina langu kwenye plate number, nikapanda na kuanza safari yangu kuelekea ikulu.
Hazikupita sekunde nyingi nikajikita nipo nafunguliwa geti la Ikulu, nikapaki na hata sikufahamu nimfuata nini hapo. Ilikuwa raha sana mule ndani ya ikulu, eti nikamuona Mwigulu wanajadili na mabeberu mpango wa kuanzisha tozo ya kuvuta hewa, kwamba eti tuwe tunalipia hewa tunayovuta kama vifurushi vya simu, bando lako la hewa likikata basi unaenda kurenew TRA, hahah. Na wakamwambia kama hufanyi hivyo hatuwezi kukupa tena mkopo.
Hahahah, nilishtuka na kuamka mwenyewe!
Baada ya kuwaza kidogo, nikaona nijaribu ku-imagine naendesha V8 nione itakuwaje, kweli bhana, kugeuza shingo naona V8 nyeusi kalii imeandikwa jina langu kwenye plate number, nikapanda na kuanza safari yangu kuelekea ikulu.
Hazikupita sekunde nyingi nikajikita nipo nafunguliwa geti la Ikulu, nikapaki na hata sikufahamu nimfuata nini hapo. Ilikuwa raha sana mule ndani ya ikulu, eti nikamuona Mwigulu wanajadili na mabeberu mpango wa kuanzisha tozo ya kuvuta hewa, kwamba eti tuwe tunalipia hewa tunayovuta kama vifurushi vya simu, bando lako la hewa likikata basi unaenda kurenew TRA, hahah. Na wakamwambia kama hufanyi hivyo hatuwezi kukupa tena mkopo.
Hahahah, nilishtuka na kuamka mwenyewe!