Ilikuwa hv
View attachment 2489840
Unajua kuwa Walokole ndiyo wanaongoza kwa kutokuwa waaminifu na kutokuaminika.
Itakua mwenye nyumba kapata pesa ya pensheni , mbona ilikua fresh tuMbona hapo ndio ilikuwa nzuri zaidi,nyie kuirefusha ndio imechukiza
Mbona hanam ndefu, imegeuzwa kanisa?
Kumbe hata wewe umeliona hilo mkuu,yani wao ndio wanaiharibu kabsa,sijui nani kawaambia kupandisha paa juu namna hiyo ndio kisasa zaidi?Mbona hapo ndio ilikuwa nzuri zaidi,nyie kuirefusha ndio imechukiza
Mmmm mbona ilikuwa vizuri tu hiyo pesa angamalizia kuskim au marumaru but kila