Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Kumbe hata wewe umeliona hilo mkuu,yani wao ndio wanaiharibu kabsa,sijui nani kawaambia kupandisha paa juu namna hiyo ndio kisasa zaidi?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa sana fundi maiko alivyojimwambafai kwa kuharibu show ya nyumba [emoji276]