bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Habarini za saa hizi wandugu?
Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya kumi na mbili jioni.
Lakini mpaka sasa nazungumza mida ya saa nne na robo nyama kila nikionja haijaiva japokuwa nilikatia tangawizi ndani na kukamulia limau .Nimepatwa na mshtuko kidogo kwanini?
Wataalam wa mapishi, naomba msaada wenu nimekosea nini? ningeweza kuuliza majirani zangu ila tunaishi kila kila mtu kivyake jamani.
Ahsanteni
Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya kumi na mbili jioni.
Lakini mpaka sasa nazungumza mida ya saa nne na robo nyama kila nikionja haijaiva japokuwa nilikatia tangawizi ndani na kukamulia limau .Nimepatwa na mshtuko kidogo kwanini?
Wataalam wa mapishi, naomba msaada wenu nimekosea nini? ningeweza kuuliza majirani zangu ila tunaishi kila kila mtu kivyake jamani.
Ahsanteni