Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauziwa mbwaa kama sio pakaaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nashukurj ile nyama sikuila niliitupa kwenye kidastibini changu nje. Leo naenda kuicheki yaani hata haijaoza iko vile vile..kibaya zaidi kuna paka wengi sana maeneo haa sijaona hata paka wakifungua dastibini kuila....Dah[emoji24]
Tupe updates kesho tena asubuhi.Nashukurj ile nyama sikuila niliitupa kwenye kidastibini changu nje. Leo naenda kuicheki yaani hata haijaoza iko vile vile..kibaya zaidi kuna paka wengi sana maeneo haa sijaona hata paka wakifungua dastibini kuila....Dah[emoji24]
Habarini za saa hizi wandugu?
Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya kumi na mbili jioni.
Lakini mpaka sasa nazungumza mida ya saa nne na robo nyama kila nikionja haijaiva japokuwa nilikatia tangawizi ndani na kukamulia limau .Nimepatwa na mshtuko kidogo kwanini?
Wataalam wa mapishi, naomba msaada wenu nimekosea nini? ningeweza kuuliza majirani zangu ila tunaishi kila kila mtu kivyake jamani.
Ahsanteni
Ukiivisha nikaribishe nije kula.Leo nataka nipike nyama mixer na viazi
Jiandae kuipika masaa sita.Leo nataka nipike nyama mixer na viazi
😂😂😂😂😂😂Unapika Mawe wewe nyama ishadokolewa zamani na nyau za wachawi.