NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 235
Ilikuwa mida ya saa nne asubuhi pale mwili wa marehemu jerome william pallanjo ulipoletwa freedom square ukipokewa na wanafunzi wenzake hasa wanadarasa lake la Bsc.agricultural economics n' agribusiness...kiukweli sijaona ushirikiano kama huu walionao hawa vijana...basi kwa mbali nikamwona charles akiwa mstari wa mbele kuhakikisha mambo yanaenda vizuri,sara akiwa ndo kiongozi wa darasa la marehemu...niliweza kumuona abel(alikuwa nae siku marehemu anapata ajali)..maprofesa wengi,nikamwona mtu mmoja anaitwa ndunguru nyuma akiwa na huzuni kubwa mno...jirani akiwa na john ramazani,rahim,na yule jamaa mwingine simjui,pembeni nikawaona chalii mweupe wa A town,marua james,na wengine wengi...kiukweli vijana hawa wanadarasa la marehemu wameonyesha mshikamano tokea msiba unaanza hadi unaishia pale tulipompumzisha marehemu makaburini colar...Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake libarikiwe..