Maajabu tuzo ligi kuu bara

Maajabu tuzo ligi kuu bara

Leo nimeamini utopolo wote ni MAUMBWA na MANYANI na hakuna mwenye akili isipokuwa babaake manara na kikwete ambao wanaakili za kuvukia barabara tu.

Hoja sio nani ni bora kwa sasa ila hizo tuzo wanaangalia msaada wa mchezaji kwa msimu mzima wa mwaka 2020/2021.

sasa kama unaamini kuwa msimu uliopita Feisal alikuwa bora kuliko Luis na Idy au Job alikuwa bora kuliko Mangalo inabidi ukapimwe akili.
Unaona kutumia matusi na lugha za kukera ndio ujanja? Ume anzisha thread ili utukane watu? au kupishana mtazamo ni dhambi!
 
Back
Top Bottom