Demokrasia ni gharama ndugu. Kwahiyo unataka kusema hata katiba ikivunjwa (inayotetea demokrasia) kwa namna yoyote ile ikiwemo wizi wa uchaguzi,basi iwe funika kombe mwanaharamu apite? Hayo yapo Tanzania tu. Waache Wakenya iwagharimu,ndo mwanzo wa maendeleo.Katika hali ambayo imenistaajabisha sana tume inayoitwa huru ya Kenya IEBC imetumia Dolla za Kimarekani millioni 226 ($ 225 mill.) au Dolla 16 ($16) kwa Mpiga kura, kwa kulinganisha tu Marekani pamoja na mbwembwe zao zote wanatumia chini ya Dolla 1 ($1) kwa mpiga kura, Ghana senti 70 (Dolla) na Uganda dollar 4 ($ 4) kwa kila Mpiga kura, na pamoja na ughali wote huo bado watu wanakataa Matokeo na wanataka Uchaguzi urudiwe! Duh!
Demokrasia ni gharama ndugu. Kwahiyo unataka kusema hata katiba ikivunjwa (inayotetea demokrasia) kwa namna yoyote ile ikiwemo wizi wa uchaguzi,basi iwe funika kombe mwanaharamu apite? Hayo yapo Tanzania tu. Waache Wakenya iwagharimu,ndo mwanzo wa maendeleo.
Ni sawa. Unaelewa kwanini gharama imekuwa kubwa hivyo? Mazingira ya Kenya na Ghana ni tofauti. Sababu kubwa mojawapo iliyofanya gharama kuwa kubwa ni BVR system. Hii ilitumia almost tsh 180 Billion,(9billion Ksh). Ukifatilia kuna makumpuni yaliomba tenda hiyo kwa a half the cost, lakini muda wa maandalizi ulikuwa mfinyu,hivyo wakaangukia kwenye figure hiyo. Pili, mazingira ya kutoaminiana yaliyosababisha machafuko yale, so they had to implement some mechanism,to avoid uncertainty!Sio lazima kuingia gharama yote hiyo kwa nchi Maskini kwa kisingizio cha Demokrasia, na Wala kuwa na Demokrasia sio lazima uingie gharama kubwa kiasi hicho, mbona Ghana wamejaribu kwa ndogo kabisa?
Katika hali ambayo imenistaajabisha sana tume inayoitwa huru ya Kenya IEBC imetumia Dolla za Kimarekani millioni 226 ($ 225 mill.) au Dolla 16 ($16) kwa Mpiga kura, kwa kulinganisha tu Marekani pamoja na mbwembwe zao zote wanatumia chini ya Dolla 1 ($1) kwa mpiga kura, Ghana senti 70 (Dolla) na Uganda dollar 4 ($ 4) kwa kila Mpiga kura, na pamoja na ughali wote huo bado watu wanakataa Matokeo na wanataka Uchaguzi urudiwe! Duh!
Ni sawa. Unaelewa kwanini gharama imekuwa kubwa hivyo? Mazingira ya Kenya na Ghana ni tofauti. Sababu kubwa mojawapo iliyofanya gharama kuwa kubwa ni BVR system. Hii ilitumia almost tsh 180 Billion,(9billion Ksh). Ukifatilia kuna makumpuni yaliomba tenda hiyo kwa a half the cost, lakini muda wa maandalizi ulikuwa mfinyu,hivyo wakaangukia kwenye figure hiyo. Pili, mazingira ya kutoaminiana yaliyosababisha machafuko yale, so they had to implement some mechanism,to avoid uncertainty!
Kijakazi unawaza upuuzi gani ndugu? Kwahiyo unataka kusema Taifa liongozwe namna gani? Unaposema demokrasia (yaani mfumo wa utawala ) ni gharama kubwa, na hivyo utupiliwe mbali, unataka iweje? Wakikuyu waendelee kutawala (ipendavyo)milele? CCM iendelee kutawala milele (ipendavyo)?? Look here, even if it is going to cost half a trilion, yet let it be for the sake of A country. Watu walichinjana mwaka ule, au umesahau? Either Democracy or Dictatorship!Lakini bado uncertainties zimetawala tu ktk Uchaguzi wote, na si ajabu ukarudiwa tena, nani anajua labda kwa gharama tena mara mbili ya hiyo, kwa upande wangu mimi mtu akiniuliza kama Uchaguzi ni aghali hivyo ni bora kuufuta tu na kuwekeza hizo pesa TPDC na kuchimba Mafuta wenyewe kuliko kupeleka kwenye uchaguzi ambao hata hivyo utaibiwa tu!
Kwa Afrika kuna demokrasia gani, ningekuwa na katiba yangu napiga marufuku chaguzi Afrika nzima, pesa za chaguzi zitumike kwa maendeleoDemokrasia ni gharama ndugu.
Kijakazi unawaza upuuzi gani ndugu? Kwahiyo unataka kusema Taifa liongozwe namna gani? Unaposema demokrasia (yaani mfumo wa utawala ) ni gharama kubwa, na hivyo utupiliwe mbali, unataka iweje? Wakikuyu waendelee kutawala (ipendavyo)milele? CCM iendelee kutawala milele (ipendavyo)?? Look here, even if it is going to cost half a trilion, yet let it be for the sake of A country. Watu walichinjana mwaka ule, au umesahau? Either Democracy or Dictatorship!
Kwa Afrika kuna demokrasia gani, ningekuwa na katiba yangu napiga marufuku chaguzi Afrika nzima, pesa za chaguzi zitumike kwa maendeleo
Sio lazima kuingia gharama yote hiyo kwa nchi Maskini kwa kisingizio cha Demokrasia, na Wala kuwa na Demokrasia sio lazima uingie gharama kubwa kiasi hicho, mbona Ghana wamejaribu kwa ndogo kabisa?
JF Senior Expert Member una comment hivi kweli?? Too low aiseee!!!!Kwa Afrika kuna demokrasia gani, ningekuwa na katiba yangu napiga marufuku chaguzi Afrika nzima, pesa za chaguzi zitumike kwa maendeleo
Iam not trying to suggest anything! Nimeshangazwa tu na hiyo gharama basi!
Marekani wanatumia hela ndogo kwa kuwa taasisi zake zinazoshughulika na maswala ya uchaguzi zimeimarishwa kitambo sana. Ghana pia ninaweza kusema wana 'mature' electoral system na hata haya mambo ya biometric kits wameiga wakenya kutoka ghana. Kenya ndo mara ya kwanza kununua hivyo vifaa. Uchaguzi ujao iwapo vitakuwepo basi gharama itakuwa ndogo.
JF Senior Expert Member una comment hivi kweli?? Too low aiseee!!!!