Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Katika hali ambayo imenistaajabisha sana tume inayoitwa huru ya Kenya IEBC imetumia Dolla za Kimarekani millioni 226 ($ 225 mill.) au Dolla 16 ($16) kwa Mpiga kura, kwa kulinganisha tu Marekani pamoja na mbwembwe zao zote wanatumia chini ya Dolla 1 ($1) kwa mpiga kura, Ghana senti 70 (Dolla) na Uganda dollar 4 ($ 4) kwa kila Mpiga kura, na pamoja na ughali wote huo bado watu wanakataa Matokeo na wanataka Uchaguzi urudiwe! Duh!