Maajabu: Wanaohubiri Injili ya mafanikio wao wenyewe hawakutajirika kwa injili hiyo!

Maajabu: Wanaohubiri Injili ya mafanikio wao wenyewe hawakutajirika kwa injili hiyo!

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wao wanatuuzia maneno ya hamasa tu ( motivational speeches) na kuchukua kutoka kwetu pesa halisi (real money) kwa kisingizio cha kumtolea Mungu sadaka na matoleo na kutuacha sisi tumekumbatia maneno matupu. Wao wamekuwa mabilionea si kwa kusikiliza mafundisho hayo ya injili ya mafanikio (prosperity gospel). Wanawauzia watu hiyo ambayo ki ukweli ni INJILI NYINGINE kama anavyosema mtume Paulo na kujitajirisha kwa MAPATO YA AIBU.
Na kipindi kama hiki cha mwisho wa mwaka utawasikia huko kwenye utitiri wa redio zao mialiko ya kufungua malango ya mwaka mpya, kutakasa mwaka mpya, kufungua mafanikio mapya na ujingaujing mwingi wa kila aina. Yote hayo ni mtego tu wachukue pesa zako kwa udanganyifu wa kila aina wakitumia tafsiri potofu za maandiko matakatifu. They spiritualize every story and verse of the Bible just to lay a snare to trap you! Hadithi au aya fulani ya Biblia inaundiwa tasfsiri ya kukufanya uone inakutaka kutoa pesa kwa Mungu au usipofanya hivyo jambo baya litakupata au hutafanikiwa katika jambo fulani
 
Kama huamini kuwa Mungu hufanikisha watu wewe ni mpagani
Nani amekuambia siamini Mungu hufanikisha watu? Mfalme Sulemani ndiye tajiri mkubwa kuliko wote waliowahi kuishi duniani mpaka leo. Mungu alimfanikisha. Lakini unajua sababu ya utajiri wake? Angekuwa amefuata akili za kipumbavu kama tunazolishwa na hawa matapeli bila shaka hata ule ufalme Mungu angemuondolea. Think twice na jifunze neno la Mungu kwa namna inayofaa. Haya matapeli yana Biblical Hermeneutics za kitapeli ili kuibia watu.
 
Nani amekuambia siamini Mungu hufanikisha watu? Mfalme Sulemani ndiye tajiri mkubwa kuliko wote waliowahi kuishi duniani mpaka leo. Mungu alimfanikisha. Lakini unajua sababu ya utajiri wake? Angekuwa amefuata akili za kipumbavu kama tunazolishwa na hawa matapeli bila shaka hata ule ufalme Mungu angemuondolea. Think twice na jifunze neno la Mungu kwa namna inayofaa. Haya matapeli yana Biblical Hermeneutics za kitapeli ili kuibia watu.
Suleimani alipata nguvu ya kupata utajiri na Hekima baada ya kutoa sadaka nyingi sana na kumjengea Mungu Hekalu kabla ya hapo alikuwa mjinga na lofa tu
 
NDIO KWA YESU YOTE YANAPATIKANA... NA MAFANIKIO HASA NI KUMPATA YESU KUCHAKAA KIMWILI SIO ISHU KWA MLOKOLE

KWANI WOTE WANAOTOA HUDUMA BANK LAZIMA WAWE NA PESA
 
Wao wanatuuzia maneno ya hamasa tu ( motivational speeches) na kuchukua kutoka kwetu pesa halisi (real money) kwa kisingizio cha kumtolea Mungu sadaka na matoleo na kutuacha sisi tumekumbatia maneno matupu. Wao wamekuwa mabilionea si kwa kusikiliza mafundisho hayo ya injili ya mafanikio (prosperity gospel). Wanawauzia watu hiyo ambayo ki ukweli ni INJILI NYINGINE kama anavyosema mtume Paulo na kujitajirisha kwa MAPATO YA AIBU.
Na kipindi kama hiki cha mwisho wa mwaka utawasikia huko kwenye utitiri wa redio zao mialiko ya kufungua malango ya mwaka mpya, kutakasa mwaka mpya, kufungua mafanikio mapya na ujingaujing mwingi wa kila aina. Yote hayo ni mtego tu wachukue pesa zako kwa udanganyifu wa kila aina wakitumia tafsiri potofu za maandiko matakatifu. They spiritualize every story and verse of the Bible just to lay a snare to trap you! Hadithi au aya fulani ya Biblia inaundiwa tasfsiri ya kukufanya uone inakutaka kutoa pesa kwa Mungu au usipofanya hivyo jambo baya litakupata au hutafanikiwa katika jambo fulani
Nawe jaribu kuwahubiria hata watoto wako kama watakusikiliza au majirani zako hapo.
 
Wao wanatuuzia maneno ya hamasa tu ( motivational speeches) na kuchukua kutoka kwetu pesa halisi (real money) kwa kisingizio cha kumtolea Mungu sadaka na matoleo na kutuacha sisi tumekumbatia maneno matupu. Wao wamekuwa mabilionea si kwa kusikiliza mafundisho hayo ya injili ya mafanikio (prosperity gospel). Wanawauzia watu hiyo ambayo ki ukweli ni INJILI NYINGINE kama anavyosema mtume Paulo na kujitajirisha kwa MAPATO YA AIBU.
Na kipindi kama hiki cha mwisho wa mwaka utawasikia huko kwenye utitiri wa redio zao mialiko ya kufungua malango ya mwaka mpya, kutakasa mwaka mpya, kufungua mafanikio mapya na ujingaujing mwingi wa kila aina. Yote hayo ni mtego tu wachukue pesa zako kwa udanganyifu wa kila aina wakitumia tafsiri potofu za maandiko matakatifu. They spiritualize every story and verse of the Bible just to lay a snare to trap you! Hadithi au aya fulani ya Biblia inaundiwa tasfsiri ya kukufanya uone inakutaka kutoa pesa kwa Mungu au usipofanya hivyo jambo baya litakupata au hutafanikiwa katika jambo fulani
Hili swala niliwahi kulisema kwa wife, kwa nini hawa wahubiri wamekuwa na injili ya maneno matupu kinyume na mafundisho na shuhuda za mtume Paulo, unaweza kusema ni motivational speakers wa injili, aliishia kunipinga kwamba nina roho ya kipagani.......ikanibidi kupiga kimya.​
 
Hili swala niliwahi kulisema kwa wife, kwa nini hawa wahubiri wamekuwa na injili ya maneno matupu kinyume na mafundisho na shuhuda za mtume Paulo, unaweza kusema ni motivational speakers wa injili, aliishia kunipinga kwamba nina roho ya kipagani.......ikanibidi kupiga kimya.​
Ni motivational speakers wanaotumia biblia. Mkeo ameshatekwa kiakili na hawa matapeli. Lakini kuna siku watu watafunguka akili and that will be the end au pia kuna siku serikali zitachukua maamuzi magumu dhidi ya hawa matapeli.
 
Ha
Suleimani alipata nguvu ya kupata utajiri na Hekima baada ya kutoa sadaka nyingi sana na kumjengea Mungu Hekalu kabla ya hapo alikuwa mjinga na lofa tu
Hakuomba vitu hivyo. Hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu hata kabla hajafanya hayo uliyoyataja. Unasema alikuwa lofa? Serious? Urithi wote wa baba yake mfalme Daudi bado tena awe lofa? What are you talking about??
 
NDIO KWA YESU YOTE YANAPATIKANA... NA MAFANIKIO HASA NI KUMPATA YESU KUCHAKAA KIMWILI SIO ISHU KWA MLOKOLE

KWANI WOTE WANAOTOA HUDUMA BANK LAZIMA WAWE NA PESA
Mstari wako wa mwisho haijakaa sawa. Kuna wezi wapo benki. Nayo kwako unaona ni halali?
 
Back
Top Bottom