Maajabu! Wezi wakata mauno usiku kucha wakiwa uchi baada ya kuiba gari

Kivipi? Unalazimisha?

Upepo unapimwa kwa kasi yake, muelekeo, watu wanachora mpaka ramani za pepo zinavyoenda, watu wanasafiri kwa upepo baharini.

Uchawi unaupima kwa kipimo gani? Unahakikishaje huu ni uchawi na si kitu kingine?
Wewe umewahi kuuona upepo?
 
Hahahaha....then why are u sweating yourself to know my bullshit?
I am just pointing out to others "this is bullshit, don't go near it, you will get diseases".

Sent from my Kimulimuli
 

Wataalamu wa aina hii wapewe ajira na Wizara ya usalama wa Raia. Hata kwa special consultation
 
Miaka yangu na nibapoishi vinahusikaje na habari hii?

Hujajibu maswali yangu.

Sent from my Kimulimuli
Kwanza nilitaka kujua kama wewe unaishi hapa Tanzania au ulimwengu mwingine,pili umri ukiwa mdogo maana yake bado hujayaona, wenyewe wanasema kua uyaone!!!
 
Kwanza nilitaka kujua kama wewe unaishi hapa Tanzania au ulimwengu mwingine,pili umri ukiwa mdogo maana yake bado hujayaona, wenyewe wanasema kua uyaone!!!
Ulimwengu mwingine ndio upi huo?

Hakuna wadogo wanaojua kuliko wakubwa?

Mbona hujajibu maswali yangu bado? Unataka mimi nijibu yako tu wakati wewe hujibu yangu?
 
Mkuu Huyu jamaa achana naye utapoteza nguvu zako bure.Hajui hata kwamba yeye mwenyewe ni spirit confined to his body.Nadhani he believes kwamba he is just another animal.He is too removed from the truth.Huyu ni atheist aliyeiva kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…