Jorochere
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 994
- 670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umewahi kuuona upepo?Kivipi? Unalazimisha?
Upepo unapimwa kwa kasi yake, muelekeo, watu wanachora mpaka ramani za pepo zinavyoenda, watu wanasafiri kwa upepo baharini.
Uchawi unaupima kwa kipimo gani? Unahakikishaje huu ni uchawi na si kitu kingine?
Define "kuuona".Wewe umewahi kuuona upepo?
Hahahaha....then why are u sweating yourself to know my bullshit?You are talking bullshit. Your God is a myth.
Sent from my Kimulimuli
I am just pointing out to others "this is bullshit, don't go near it, you will get diseases".Hahahaha....then why are u sweating yourself to know my bullshit?
Atawadaka kibao.
View attachment 582522
Habari zinazochipuka hii leo toka Mombasa Nchini Kenya, wezi wawili yapata jana jioni waliliiba gari la bwana mmoja alilokuwa ameliegesha sehemu apate kinywaji kishe aende zake home, baada ya mabwana hao kufanya tendo hilo leo asubuhi wananchi wametamaushwa kwa kuwakuta wanaume hao wakicheza muziki kulizunguka gari hilo huku wakiwa uchi.
Gari hilo wanalodaiwa kuwa waliiba walikuwa wameliegesha pembeni huku nyoka wako shingoni!
Aisee iwe funzo kwa wengine, Mombasa hata shilingi haiokotwi, utashtukia umeliwa jicho usiku kucha ohhoo!
Kwanza nilitaka kujua kama wewe unaishi hapa Tanzania au ulimwengu mwingine,pili umri ukiwa mdogo maana yake bado hujayaona, wenyewe wanasema kua uyaone!!!Miaka yangu na nibapoishi vinahusikaje na habari hii?
Hujajibu maswali yangu.
Sent from my Kimulimuli
Kajamaa kana tako lililokomaa kweli!ha hahaha
Ulimwengu mwingine ndio upi huo?Kwanza nilitaka kujua kama wewe unaishi hapa Tanzania au ulimwengu mwingine,pili umri ukiwa mdogo maana yake bado hujayaona, wenyewe wanasema kua uyaone!!!
Mkuu Huyu jamaa achana naye utapoteza nguvu zako bure.Hajui hata kwamba yeye mwenyewe ni spirit confined to his body.Nadhani he believes kwamba he is just another animal.He is too removed from the truth.Huyu ni atheist aliyeiva kweli kweli.Wewe una uthibitisho wa kuwa hai kesho, una uthibitisho dunia, moon zina float aje kwenye maeneo yao. Una uthibitisho gani asteroids hazijaweza gongana na dunia.
There are superior unseen energies ewe nyumbu. Wewe usiyejua(not believing) haya mambo ndie mbumbumbu usie na ubongo wala uti wa mgongo.
Mie lazima anipate maana hawa wezi sina hamu nao washawahi kunipiga vifaa vya kama 2m hivi.Atawadaka kibao.
Wajinga ndio waliwao.
Sent from my Kimulimuli
Na wewe unaamini hizi habari za uchawi?Mie lazima anipate maana hawa wezi sina hamu nao washawahi kunipiga vifaa vya kama 2m hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa sasa mkuu wewe unadhani hao waliojipaka matope na kucheza uchi ni machizi? TEGO HILO.Na wewe unaamini hizi habari za uchawi?
Utajuaje kwa kungaliapicha tu?Hahaaa sasa mkuu wewe unadhani hao waliojipaka matope na kucheza uchi ni machizi? TEGO HILO.
Sent using Jamii Forums mobile app