Maajabu! Wezi wakata mauno usiku kucha wakiwa uchi baada ya kuiba gari

Hiyo dawa wailete kule Dar kwenye wizi wa vifaa vya magari
 
Spirit ni nini?

Unaweza kuthibitisha unachoandika au unajishebedua tu?
 
Utajuaje kwa kungaliapicha tu?


Huoni kwamba unaweza kuchezewa movie la ki Nigeria chapchap?
Naeza sema hauna akili kwa sababu hakuna aliyewahi kuona akili yako...na ni kweli hauna akili wewe.
Wewe mwenyewe huezi eleza ulitokea wapi na kama unaamini ulievolve kutoka kwa nyani huezi eleza huyo nyani wa kwanza alitokea wapi.hiyo science yako haiezi elza what makes the heart beat..haiezi eleza kwanni watu wanareason.that's how complicated life is....you are free to believe what you want
 
Akili ni nini?
 
Adhabu kali sana hii

May Allah bless Me and You
 
Hata Wasadukayo walikuwa Wachawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Al-watan ni Aethists, wale wasioamini chochote na mda mwingi huuliza maswali ya kipuuzi
 
Akili niuwezo wa kuelewa mambo na kufanya uamuzi sahihi
Sasa mbona wewe huna uwezo hata wa kuandika "huwezi" unaandika "huezi" ,halafu unakuja hapa kuongelea habari ya akili?

Wewe hujui hata herufi za Kiswahili,unaweza kuongelea habari za akili?
 
Al-watan ni Aethists, wale wasioamini chochote na mda mwingi huuliza maswali ya kipuuzi
Maswaliambayohuna uwezo wa kuyajibu hayawezi kuwa ya kipuuzi.

Wewe ndiye mpuuzi, tena usiye na utashi, kwa kufikiri ni ya kipuuzi.
 
Aisee. Badala ya kusikitika nimejikuta nawaonea huruma.

Ila wamepata funzo na kama wana akili hawatorudia tena mana kukaa uchi mbele ya umati sio jambo dogo
ayayayaya na wewe umepita huku [emoji85] [emoji85], ulifunga macho sio?
 
[
Sasa mbona wewe huna uwezo hata wa kuandika "huwezi" unaandika "huezi" ,halafu unakuja hapa kuongelea habari ya akili?

Wewe hujui hata herufi za Kiswahili,unaweza kuongelea habari za akili?


Aethist chai rangi wewe....get back to the discussion. Unashikilia makosa ya uandishi kama life line.kiswahili sio lugha yangu na tukifatilia hayo maswali yako ya kijinga...nani alikwambia inafaa kua huwezi na sio huezi?na vile unapenda kuhoji siungehoji herufi ni kitu gani ukitaka uonyeshwe uthibitisho....ukaamini tu alafu uku ñdio unajidai unatakq udhibitisho
 
Wewe una dyslexia au nini?

Hata "atheist" hujui kuandika?

Unaweza kuthibitisha Mungu wako yupo?
 
Katika upuuz unaoweza kuufanya huku JF ni kubishana na huyo jamaa

Bora upoteze mda wako kumtongoza hata Miss Chaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…