Maajabu! Wezi wakata mauno usiku kucha wakiwa uchi baada ya kuiba gari

Maajabu! Wezi wakata mauno usiku kucha wakiwa uchi baada ya kuiba gari

Wewe unajuaje kwamba haupo?
Wapi nimesema kwamba haupo?

Kama nimeuliza uchawi ni nini ina maana sielewi ni kitu gani, nitawezaje kusema kitu ambacho sikielewi hakipo?

Hujajibu maswali.

Uchawi ni nini?

Unajuaje kwamba upo na si hadithi tu?

Sent from my Kimulimuli
 
Wapi nimesema kwamba haupo?

Kama nimeuliza uchawi ni nini ina maana sielewi ni kitu gani, nitawezaje kusema kitu ambacho sikielewi hakipo?

Hujajibu maswali.

Uchawi ni nini?

Unajuaje kwamba upo na si hadithi tu?

Sent from my Kimulimuli
Si umesema huamini.
 
Naomba utuletee na feedback ya nani alikuja kulifata hilo gari..
 
Aisee. Badala ya kusikitika nimejikuta nawaonea huruma.

Ila wamepata funzo na kama wana akili hawatorudia tena mana kukaa uchi mbele ya umati sio jambo dogo
 
Back
Top Bottom