Maajabu wizara ya elimu

Maajabu wizara ya elimu

Dodoma moja

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
307
Reaction score
182
Naibu wazir mpya aliyeteuliwa leo hii mh jenista mhagama ana diploma hii ni kwa mujibu wa cv yake bungeni halafu anaongoza wizara ya elimu ni sawa na akili ndogo kutawala akili kubwa. Tutegemee madudu mengine wizara ya elimu yangu macho!!!
 
Kaka kuwa na diploma sio tatizo hata darasa la saba anaweza, kuna katibu mkuu ndie injini ya wizara katika utendaji. Tatizo ni kwamba hata katibu mkuu si mtu alie bobea kwenye mambo ya elimu yeye ni mwanasheria, waziri wa elimu kawambwa yeye si mwalimu pia ni mhandisi. Rais alishindwa kujua kwamba Mhadhiri si lazima awe mwalimu? Hawa ni wahadhiri na si walimu? Mwl ni yule alie soma ualimu ngazi mbali mbali kama cheti, diploma, shahada, masters, phd na kufundisha s/msingi au sekondari au chuo cha ualimu na si tu kuwa mhadhiri. Hapa rais aliingizwa chaka na washauri wake kumpa mchome wizara ya elimu!!! Hakuwaona akina Prof. OSAKI?
 
Katiba inasemaje kuhusu Uwaziri ila Ubunge Form Four anaruhusiwa kuwa mbunge. Rais anapoteua Mawaziri anaangalia na Kanda pia huyo ni Mbunge wa Mkoa wa Ruvuma kwahiyo ana taaluma ya Ualimu na Ruvuma hakuna Waziri ktk Baraza Jenista kawakilisha Kanda ya Ruvuma kachukua nafac ya Nchimbi kama hulijui bac Fahamu hivyo.
 
Kaka kuwa na diploma sio tatizo hata darasa la saba anaweza, kuna katibu mkuu ndie injini ya wizara katika utendaji. Tatizo ni kwamba hata katibu mkuu si mtu alie bobea kwenye mambo ya elimu yeye ni mwanasheria, waziri wa elimu kawambwa yeye si mwalimu pia ni mhandisi. Rais alishindwa kujua kwamba Mhadhiri si lazima awe mwalimu? Hawa ni wahadhiri na si walimu? Mwl ni yule alie soma ualimu ngazi mbali mbali kama cheti, diploma, shahada, masters, phd na kufundisha s/msingi au sekondari au chuo cha ualimu na si tu kuwa mhadhiri. Hapa rais aliingizwa chaka na washauri wake kumpa mchome wizara ya elimu!!! Hakuwaona akina Prof. OSAKI?

osaki!! Nahisi serikari haitaki kumtumia kabisa, japo anatumia kila mbinu kuishauri ila, wametia pamba masiki.........
 
Katiba inasemaje kuhusu Uwaziri ila Ubunge Form Four anaruhusiwa kuwa mbunge. Rais anapoteua Mawaziri anaangalia na Kanda pia huyo ni Mbunge wa Mkoa wa Ruvuma kwahiyo ana taaluma ya Ualimu na Ruvuma hakuna Waziri ktk Baraza Jenista kawakilisha Kanda ya Ruvuma kachukua nafac ya Nchimbi kama hulijui bac Fahamu hivyo.

Hili linahasara pia kwa wananchi, hebu jiulize kama mkoa mzima kuna wabunge wasio na sifa ya kuwa mawaziri, let say wafanya biashara maarufu au komba types itakuwaje? Urais unahitaji extra reasoning pia. Si mbaya kama angemteua mtu mwenye sifa kutoka kanda husika akampa ubunge kisha uwaziri kuliko kumpa hata asie na sifa kisa anabalance ukanda! Kweli hii nchi inahitaji maombezi.
 
Elimu sio kigezo sana kupata hiuo post na ndio maana kaipata. Mfano mdogo angalia ile nafasi Uheshimiwa Spika aliyoipata...yeye pekee ndiye alikuwa anaimudiu ile nafasi kuliko hata hao akina Ndugai na Kiroboto, hebu tumpe nafasi hope atajitahidi,. I LIKE HER CHOICE
 
MEMBER OF PARLIAMENT CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1155.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Jenista[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Joakim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mhagama[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Peramiho[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 731, Songea - Ruvuma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 754 374697[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]jmhagama@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]23 June 1967[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Korogwe Teachers Training College[/TD]
[TD="align: center"]Diploma in Education[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]-[/TD]
[TD="align: center"]Curriculum Development and Programme Planning[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Turin (ILO Centre) Italy[/TD]
[TD="align: center"]Interpreneur ship[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Korogwe Teachers' Training College[/TD]
[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Peramiho Girls' Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mfaranyaki Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]VETA-Tanzania[/TD]
[TD]Instructor[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma DEO-Trust Fund[/TD]
[TD]Secretary[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Education[/TD]
[TD]Teacher[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Work[/TD]
[TD]Trainer/Project Coordinator[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]UWT-Ward Chairman[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]Member of District Council[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]Youth Union Cader[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]Secretary[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]SPECIAL SKILLS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Skill Name or Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Years Experience[/TH]
[TH="class: text_menu"]Acquired Through[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Rising of Informal Sector[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Iringa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Entrepreneurship[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Italy[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Gender[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Songea[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]JKT[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]Mlale[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

elimu ni ujuzi na sio cheti.pia diploma ya zamani si sawa na ya sasa






 
elimu ni ujuzi na sio cheti.pia diploma ya zamani si sawa na ya sasa.
 
Kwa hiyo diploma ya zamani ni sawa na masters ya sasa? Acha kupotosha watu diploma ni diploma tu, ndio maana akitaka kuchukua degree hawa ihesabu anaanza upya kusoma. Kwanini asisome masters kwa kuwa anadiploma ya zamani?
 
Kwa hiyo diploma ya zamani ni sawa na masters ya sasa? Acha kupotosha watu diploma ni diploma tu, ndio maana akitaka kuchukua degree hawa ihesabu anaanza upya kusoma. Kwanini asisome masters kwa kuwa anadiploma ya zamani?

Zamani walikuwa wanasoma ili kuelewa mambo. Leo hii wanasomea mtihani tena wanafanya assignments kwa group discussion, zamani mtu alikomaa mwenyewe no help.
 
Back
Top Bottom