Maajabu ya Afrika ni pale kiongozi anachaguliwa halafu yuko bize kuwatafutia kazi wananchi wake nje ya nchi

Maajabu ya Afrika ni pale kiongozi anachaguliwa halafu yuko bize kuwatafutia kazi wananchi wake nje ya nchi

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu.

Kuna muda nikiwaangalia viongozi wa Afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa kipindi cha kampeni.

Kwanini viongozi wa Afrika wasiumize kichwa kutengeneza miundombinu ya viwanda Afrika na kuifanya Afrika sehemu nzuri ya watu kukimbilia.

Wakenya wana haki ya kumpinga William Ruto, ni mtu wa ajabu sana na waendelee hivyo hivyo.
 
Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi alafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu

Kuna mda nikiwaangalia viongozi wa afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa kipindi cha kampeni

Kwanini viongozi wa afrika wasiumize kichwa kutengeneza miundombinu ya viwanda afrika na kuifanya afrika sehemu nzuri ya watu kukimbilia

Wakenya wanahaki ya kumpinga william ruto ni mtu wa ajabu sana na waendelee hivyo hivyo
Ruto ni msanii tu
Ni mtu flani wa hovyo sana alafu hana hata msipa wa aibu
Afdhali hata Ruto kuliko wale jirani zake ambao utawala wao upo busy sana katika kufanya operation haramu za kuwateka, kutesa na kuwaua wapinzani wao kisiasa.

Ruto kwa kiasi kikubwa ni mvumilivu Sana kisiasa, anakubali kukosolewa na bado anajitahidi kuwatafutia kazi wale watu wanaomkosoa.
 
Afdhali hata Ruto kuliko wale jirani zake ambao utawala wao upo busy sana katika kufanya operation haramu za kuwateka, kutesa na kuwaua wapinzani wao kisiasa.

Ruto kwa kiasi kikubwa ni mvumilivu Sana kisiasa, anakubali kukosolewa na bado anajitahidi kuwatafutia kazi wale watu wanaomkosoa.
Hakuna penye afadhali kote wananchi wanateseka na umaskini wa kutisha viongozi waliowachagua wamefeli pakubwa sana
 
Ni rahisi sana wewe kuwalaumu viongozi wa Afrika [ viongozi wetu ] lakini amini nakuambia wewe na wao akili mnafanana.

Afrika tuna akili ndogo sana hasa kusini mwa jangwa la Sahara.

Viongozi na wananchi hatutofautiani, siku nawe ukitwaa madaraka utaona kwa namna gani ulivyo na akili ndogo.

Watu wenye akili kubwa Afrika ni wachache sana.
 
Hakuna penye afadhali kote wananchi wanateseka na umaskini wa kutisha viongozi waliowachagua wamefeli pakubwa sana
Hata Marekani kuna watu wenye umaskini wa kutisha. Ninachozungumzia Mimi ni uafadhaki wa mtawala au utawala wake uliopo kwenye nchi husika. Huwezi kuulinganisha utawala wa Ruto na utawala wa wale 'jirani zake' wanaoteka wapinzani wao na kuwaua kikatili eti kisa 'wanamkosoa sana "mungu wao" aliyopo kwenye nchi hiyo.'
 
Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu

Kuna muda nikiwaangalia viongozi wa Afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa kipindi cha kampeni

Kwanini viongozi wa Afrika wasiumize kichwa kutengeneza miundombinu ya viwanda Afrika na kuifanya Afrika sehemu nzuri ya watu kukimbilia

Wakenya wana haki ya kumpinga William Ruto, ni mtu wa ajabu sana na waendelee hivyo hivyo
Wewe huna akili kichwani, nitajie nchi ipo ya ulaya haitafutii watu kazi Africa? Nitajie nchi moja tu nikioneshe wazungu wanaoingiza pesa kwa kutafutiwa kazi Africa na serikali zao.

Hapa kama ndio ulikaa ukawaza ukajiona una akili hizi ni takataka tu umeandika, Rutto ni akili kubwa hata wewe unatamani hizo ajira Ujerumani ila ndio wale kina Sungura sizitaki mbichi hizi.
 
Wewe huna akili kichwani, nitajie nchi ipo ya ulaya haitafutii watu kazi Africa? Nitajie nchi moja tu nikioneshe wazungu wanaoingiza pesa kwa kutafutiwa kazi Africa na serikali zao.

Hapa kama ndio ulikaa ukawaza ukajiona una akili hizi ni takataka tu umeandika, Rutto ni akili kubwa hata wewe unatamani hizo ajira Ujerumani ila ndio wale kina Sungura sizitaki mbichi hizi.
Kwa akili hizi kazi ipo.
Achana nao, hao ni wapuuzi Sana.
Unafikiri wameshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi mbalimbali hapa duniani ikiwamo na Tanzania inawateua mabalozi na kisha kuwatuma kwenda kuiwakilisha nchi husika katika nchi nyingine?Je, Wanazijua sababu za nchi kufanya hivyo??
Tatizo lililopo ni kwamba Tanzania kuna raia mambumbumbu wengi Sana kupita kiasi.
 
bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu

Huyu anatafuta nafasi zaidi kwa vijana badala ya wote kuwa bodaboda au bajaj.

Ukipita viwanja vya ndege Qatar n.k wamejaa watu wadanyakazi vijana wanaongea kiswahili, uliza wametoka wapi Kenya, cabin crew ktk mashirika ya ndege wapi wametoka Kenya, service and hospitality mahotelini wamejaa wametoka wapi Kenya, visiwa vidogo vya utalii mkubwa bara ulaya unakutana na waswahili wapi kwao Kenya n.k

Nchi zinazojitambua kama Kenya, The Philippines n.k serikali inawezesha raia wao kwenda nje kwa malaki (100,000s) fani mbalimbali kuanzia unesi, hoteli, ubaharia n.k

Viongozi wa Tanzania wanataka vijana wote wawe maofisa usafirishaji, mama lishe n.k wabanane ktk faini ilifika kikomo kibiashara (wanagombania wateja wachache kutokana na wingi wa bodaboda n.k ) mitaa ya miji ya Tanzania wakati kuna nafasi za kuanzia useremala , welding, mafundi uashi, unesi n.k nje ya nchi
 
Achana nao, hao ni wapuuzi Sana.
Unafikiri wameshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi mbalimbali hapa duniani ikiwamo na Tanzania inawateua mabalozi na kisha kuwatuma kwenda kuiwakilisha nchi husika katika nchi nyingine?Je, Wanazijua sababu za nchi kufanya hivyo??
Tatizo lililopo ni kwamba Tanzania kuna raia mambumbumbu wengi Sana kupita kiasi.
Wala uhitaji kuwa na degree kujuwa NGO ni plan ya wazungu kuboost ajira kwa watu wao vilevile, wanatowa misaada na watu wao wanapata ajira humohumo mfano USAID and likes.
 
Huyu anatafuta nafasi zaidi kwa vijana badala ya wote kuwa bodaboda au bajaj.

Ukipita viwanja vya ndege Qatar n.k wamejaa watu wadanyakazi vijana wanaongea kiswahili, uliza wametoka wapi Kenya, cabin crew ktk mashirika ya ndege wapi wametoka Kenya, service and hospitality mahotelini wamejaa wametoka wapi Kenya, visiwa vidogo vya utalii mkubwa bara ulaya unakutana na waswahili wapi kwao Kenya n.k
Wamewajaza Ujinga wanawaita ni maafisa isafirishaji, halafu eakibanwa na agenda muhimu wanawatumia haohao wajinga wenzao kutowa matamko ya kipuuzi kabisa.
 
Back
Top Bottom