Maajabu ya Afrika ni pale kiongozi anachaguliwa halafu yuko bize kuwatafutia kazi wananchi wake nje ya nchi

Maajabu ya Afrika ni pale kiongozi anachaguliwa halafu yuko bize kuwatafutia kazi wananchi wake nje ya nchi

Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu.

Kuna muda nikiwaangalia viongozi wa Afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa kipindi cha kampeni.

Kwanini viongozi wa Afrika wasiumize kichwa kutengeneza miundombinu ya viwanda Afrika na kuifanya Afrika sehemu nzuri ya watu kukimbilia.

Wakenya wana haki ya kumpinga William Ruto, ni mtu wa ajabu sana na waendelee hivyo hivyo.
Kazi zenuewe za kufua vyup* uarabuni
 
Wewe huna akili kichwani, nitajie nchi ipo ya ulaya haitafutii watu kazi Africa? Nitajie nchi moja tu nikioneshe wazungu wanaoingiza pesa kwa kutafutiwa kazi Africa na serikali zao.

Hapa kama ndio ulikaa ukawaza ukajiona una akili hizi ni takataka tu umeandika, Rutto ni akili kubwa hata wewe unatamani hizo ajira Ujerumani ila ndio wale kina Sungura sizitaki mbichi hizi.
Mtu akitafuta kazi ulaya atafute kwa utashi wake lakin sio sawa Rais unatumia ela za walipa kodi kwenda kuwatafutia watu wako kazi kwa hiyo inamaana umeshakubali kazi imekushinda
 
Wewe huna akili kichwani, nitajie nchi ipo ya ulaya haitafutii watu kazi Africa? Nitajie nchi moja tu nikioneshe wazungu wanaoingiza pesa kwa kutafutiwa kazi Africa na serikali zao.

Hapa kama ndio ulikaa ukawaza ukajiona una akili hizi ni takataka tu umeandika, Rutto ni akili kubwa hata wewe unatamani hizo ajira Ujerumani ila ndio wale kina Sungura sizitaki mbichi hizi.

Duniani kote nchi zinatafutia wananchi wake kazi nje ya mipaka yake. China 🇨🇳 ikiwa ni mfano wa kuigwa. Wao husaka huko na huko miradi mikubwa ambayo huwaletea faida kubwa. Mpaka wameanzisha kitu kinaitwa export credit facilities kwa ajili ya kutekeleza miradi ya nje ya mipaka yao. Lakini Ruto yeye anaenda kuwaombea ajira (na siyo kazi) kama wachina wanavyofanya. Sasa kwa hali hiyo utasema hawa marais wanawaza mbali kwa hili?
 
Achana nao, hao ni wapuuzi Sana.
Unafikiri wameshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi mbalimbali hapa duniani ikiwamo na Tanzania inawateua mabalozi na kisha kuwatuma kwenda kuiwakilisha nchi husika katika nchi nyingine?Je, Wanazijua sababu za nchi kufanya hivyo??
Tatizo lililopo ni kwamba Tanzania kuna raia mambumbumbu wengi Sana kupita kiasi.

Kwa hiyo wanatumwa kusaka ajira, badala ya kwenda kusaka fursa za biashara, masoko, elimu, uchumi nk?
 
Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu.

Kuna muda nikiwaangalia viongozi wa Afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa kipindi cha kampeni.

Kwanini viongozi wa Afrika wasiumize kichwa kutengeneza miundombinu ya viwanda Afrika na kuifanya Afrika sehemu nzuri ya watu kukimbilia.

Wakenya wana haki ya kumpinga William Ruto, ni mtu wa ajabu sana na waendelee hivyo hivyo.
Acha ushamba wewe unajenga viwanda unabinafsisha kwa waasia wanaajiri watu wako na kuwalipa laki na nusu wakati huohuo unaona kabisa unaweza kupeleka nguvu kazi hiyohiyo sehemu watayolipwa milioni 4 kwa mwezi wewe ungeangaika na sehemu gani zaidi..?
 
Huyu anatafuta nafasi zaidi kwa vijana badala ya wote kuwa bodaboda au bajaj.

Ukipita viwanja vya ndege Qatar n.k wamejaa watu wadanyakazi vijana wanaongea kiswahili, uliza wametoka wapi Kenya, cabin crew ktk mashirika ya ndege wapi wametoka Kenya, service and hospitality mahotelini wamejaa wametoka wapi Kenya, visiwa vidogo vya utalii mkubwa bara ulaya unakutana na waswahili wapi kwao Kenya n.k

Nchi zinazojitambua kama Kenya, The Philippines n.k serikali inawezesha raia wao kwenda nje kwa malaki (100,000s) fani mbalimbali kuanzia unesi, hoteli, ubaharia n.k

Viongozi wa Tanzania wanataka vijana wote wawe maofisa usafirishaji, mama lishe n.k wabanane ktk faini ilifika kikomo kibiashara (wanagombania wateja wachache kutokana na wingi wa bodaboda n.k ) mitaa ya miji ya Tanzania wakati kuna nafasi za kuanzia useremala , welding, mafundi uashi, unesi n.k nje ya nchi
Uwezo wa kunegotiate na kuomba ajira huko nje hawana wenzio waone hivyohivyo hawa viongozi the way unavyoona mtaani akija mzungu huwa anaogopwa ni the same kwenye maofisi ya umma wanawaogopa kwanza.

Hii inlishaharibiwa na mifumo ya kijamaa isee
 
Acha ushamba wewe unajenga viwanda unabinafsisha kwa waasia wanaajiri watu wako na kuwalipa laki na nusu wakati huohuo unaona kabisa unaweza kupeleka nguvu kazi hiyohiyo sehemu watayolipwa milioni 4 kwa mwezi wewe ungeangaika na sehemu gani zaidi..?
Kwa akili hizi kama zako Afrika itaendelea kuwa maskini milele
 
Afdhali hata Ruto kuliko wale jirani zake ambao utawala wao upo busy sana katika kufanya operation haramu za kuwateka, kutesa na kuwaua wapinzani wao kisiasa.

Ruto kwa kiasi kikubwa ni mvumilivu Sana kisiasa, anakubali kukosolewa na bado anajitahidi kuwatafutia kazi wale watu wanaomkosoa.
Umeona mbali.
 
Ruto ni akili kubwa anawaza nje ya box
Siyo kuwaza ndani ya mipaka kama kuku aliyeko bandani
raia waende huko duniani wakaitafute pesa wailete kenya kujenga nchi
 
Achana nao, hao ni wapuuzi Sana.
Unafikiri wameshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi mbalimbali hapa duniani ikiwamo na Tanzania inawateua mabalozi na kisha kuwatuma kwenda kuiwakilisha nchi husika katika nchi nyingine?Je, Wanazijua sababu za nchi kufanya hivyo??
Tatizo lililopo ni kwamba Tanzania kuna raia mambumbumbu wengi Sana kupita kiasi.
mtu anaropoka tu kila analowaza yeye anajikuta eti anaakili Sana!
 
Back
Top Bottom