Maajabu ya AJALI ZA POLISI

Maajabu ya AJALI ZA POLISI

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...

Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?
 
Back
Top Bottom