Maajabu ya Dunia: Bingwa mtetezi kutolewa mashindanoni baada ya kucheza dakika 90 tu za mechi yake ya kwanza ya mashindano

Shida yenu ni kutaka kila kitu kuwaiga yanga..mlivyosikia yanga kawaweka pembeni nyota wake karibu wote na nyie mkafuata mkumbo wakati nyie hamna kikosi mbadala
 
Mlandege iitwe mlasimba😂😂😂😂
 
Mlandege iitwe mlasimba😂😂😂😂
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] poleni sana wanathimbaa.
Ila mnatia aibu sana, yaani mechi Moja tu mnabeba virago vyenu hao mnarudi dar???
Na kwakurudi kwetu Dar,hilo Bonanza limeshadoda tayari.Tumewafanyieni makusudi ili muongeze zawadi za mshindi,siyo team inatumia 300M halafu zawadi 15M.Bakini huko nyie mcheze maana hamna majukumu mazito ya Champions League
 
Shida yenu ni kutaka kila kitu kuwaiga yanga..mlivyosikia yanga kawaweka pembeni nyota wake karibu wote na nyie mkafuata mkumbo wakati nyie hamna kikosi mbadala
Simba ina majukumu mazito ya CL,sasa tutawaigaje team iko Losers Cup?
 
Hawataki kupoteza muda wameamua watumie mbinu hii kujiondoa
Hili ni wachache tu wataelewa,lakini waandaaji wa haya mashindano wameelewa kabisa kuwa Simba haikutaka kushiriki,walichofanya ni kuwakatalia kikubwa kwa kufungwa mechi ya kwanza tu.
 
Na kwakurudi kwetu Dar,hilo Bonanza limeshadoda tayari.Tumewafanyieni makusudi ili muongeze zawadi za mshindi,siyo team inatumia 300M halafu zawadi 15M.Bakini huko nyie mcheze maana hamna majukumu mazito ya Champions League
Poleni sana. Sasa mwaka huu mtaondoka na kombe lipi[emoji848][emoji848]?? Miaka inasonga kimasihara huku mkiendelea na porojo zenu za kimataifa[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mwaka jana tulipolichukua mkatubeza kama kombe halina maana, sasa mnatakaje?

Na game ya mwisho tunamleta Fetty Dancer anacheza kiungo.
 
'Maajabu Ya Dunia' ....!

Duh.. Basi Simba ni Kweli Timu Kubwa Pekee Tanzania mpaka inapotokea ikifungwa linafanyika 'Ajabu Lingine' La Dunia..!
Makolo kupigwa sio ajabu ashapigwa na azam ligi kuu ashapigwa na yanga ngao ya jamii ajabu no kutolewa mashindano kwemye mechi ya kwanza tu ya kutetea ubingwa
 
France walifungwa ndio mechi ya kwanza na Senegal ila hawakutolewa mashindanoni paka baada ya kucheza mechi yao ya tatu ndio walikua out

Simba mechi Moja tu out huoni tofauti hapo? Au ndio tuseme rage alivosema Simba wote ni mbumbumbu hakukosea
Hakika Wewe ni utopolo, akili zero. Simba na France wote walifungwa mechi moja ya Kwanza Ila France hakutolewa ila Simba ametolewa, sasa huoni kama kilichoitoa Simba ni Kanuni za mashindano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…