Maajabu ya first year muhas

Status
Not open for further replies.

my life

Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
30
Reaction score
10
Ukistaajabu ya musa utaona ya filauni hapa muhas first year ni wa ajabu sana eti wameweka classes kati ya shule zenye majina nchini na kayumba schools. Kwa mfano, discusion groups za wa2 wa mzumbe na marian hawataki wa2 wa shule nyingine na ukiomba discusion utaambiwa kama hujui kingereza sepa mapema. Yan wanajiskia sana wanaona wao ndio vinara wa chuo kwa first year.
 
Subiri course work utajua kayumba au la
 
Ni serekali ndio iloyotengeneza haya yote,hivi kungetokea nini kama wote(wenye ufaulu wa chini na juu) wangepelekwa shule moja i.e at secondary level?what is so special for special school?
 
Ngoja wafanye ca ya anatomy na wapigwe hypo wote ndo utawaona wakiwatafuta. Hao masharobaro wapo miaka yote lakini ca ndo huwa zinawasambaratisha kwani baada ya hapo hakuna anayetetea shule tena zaidi ya nafsi yake. Hivi nyambo bado ni head wa biochem? Yule dingi nilikuwa nikimuona tu mwili unatetemeka.
 
We waache tu, 2005 nilipoanza 1st yr ilikuwa hivyo, walipofika second year wengine wamepigwa sup za anatomy na biochemistry wenyewe second yr wakaanza kujibalaguza hasa mademu haka tukaanza kujipigia kama tunalia vile. We acha tu hawajapigika hawa.
 
Yap mr nyambo yupo na bado ni head wa biochem na tumefanya CA ya kwanza leo yule mzee noma balaa
 
Mzee nyambo ni noumaa.. Salam zake sana; but nasikia ana ratiba ya kuja huku Illinois chicago mwezi ujao lazima nimtafute
 
Mtafute bana atafurahi sana. Atakuja kukutolea mfano clas.
 
we soma bana kwani ulivyoingia hapo ulitumia discussion zao?
mwisho wa mwaka watapoteana hao!
 
We waache tu, 2005 nilipoanza 1st yr ilikuwa hivyo, walipofika second year wengine wamepigwa sup za anatomy na biochemistry wenyewe second yr wakaanza kujibalaguza hasa mademu haka tukaanza kujipigia kama tunalia vile. We acha tu hawajapigika hawa.

Kumbe ni wewe!!
Pamoja mkuu!
 
Mzee nyambo ni noumaa.. Salam zake sana; but nasikia ana ratiba ya kuja huku Illinois chicago mwezi ujao lazima nimtafute

mkuu umenikumbusha mbali sana.....nakumbuka mzee Thomas Nyambo alikuwa ana msemo mmoja unaoonyesha msimamo wake....''i will never let my goverment down'' akimaanisha hawezi kuacha vilaza wavuke mwaka na kwenda kuua watanzania.
 
Endelezeni mbwembwe tu,mkimaliza chuo ndiyo mtatubu,serikali imeshasema haina fedha za kuwaongezea mishahara.Pia kumbukeni kuwa usome iliboru au migombani shule ya sekondari,ukija kuwa daktari unachezea vidonda vile vile tu.
 
Mzee nyambo ni noumaa.. Salam zake sana; but nasikia ana ratiba ya kuja huku Illinois chicago mwezi ujao lazima nimtafute

naona adhma yako ya kutuambia kuwa uko USA kiujanja imetimia..hongera kwa kuishi mji mmoja na prezidenti obama.
 
hao ni washamba!
Ss km wao wanajiona wapo juu c wawaambie wazazi wao wawapeleke vyuo vya nje!
 
naona adhma yako ya kutuambia kuwa uko USA kiujanja imetimia..hongera kwa kuishi mji mmoja na prezidenti obama.
hayo ni yako by the way karibu sana.. Ofcourse kabla ya kuwa rais alikuwa ni gavana wa hapa
 
Watatukuta Biochem, Anatony na Physiology. Wengi huja na mbwembwe na mwisho wao ni kilio.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…