Maajabu ya first year muhas

Status
Not open for further replies.

Hata matabaka yameletwa na swirikali inayoongozwa na CCM!
 
Endelezeni mbwembwe tu,mkimaliza chuo ndiyo mtatubu,serikali imeshasema haina fedha za kuwaongezea mishahara.Pia kumbukeni kuwa usome iliboru au migombani shule ya sekondari,ukija kuwa daktari unachezea vidonda vile vile tu.

pumbaa
 
Muhimbili University Of Hypertension And Associated Stresses(MUHAS)
 
We waache tu, 2005 nilipoanza 1st yr ilikuwa hivyo, walipofika second year wengine wamepigwa sup za anatomy na biochemistry wenyewe second yr wakaanza kujibalaguza hasa mademu haka tukaanza kujipigia kama tunalia vile. We acha tu hawajapigika hawa.
Mkuu kwa uzoefu wako unamshaurije aliyemaliza f6 miaka 10 imepita anahisi ameshasahau chemistry na amabahatika kupata bpharm 2014/15,
 
Hao hawajaijua vizuri medical school...
Ngoja kwanza wakutane na gross anatomy ambayo ni nyepesi wakaribishwe kabla ya kuanza mambo magumu. Wakikutana na majina kama "musculus levator labii superioris alaeque nasi" ndipo watajua kuwa kuna zaidi ya kiingereza huko
 
Hao wangeenda SUA kusoma veterinary medicine miaka kama 10-15 iliyopita na attitude hiyo ninaamini christmas ingekuta wameshahamia chuo kingine bila kufukuzwa. Ngoja tuwasubirie hapo MUHAS tuone itakuwaje
 
Watatukuta Biochem, Anatony na Physiology. Wengi huja na mbwembwe na mwisho wao ni kilio.

Hata sisi walianza hivo hivo..mara kushikana mabega MPL ilipopigwa CA bioch .. Kwishney ... Na mbado mzee wa KIDNEY... Mtogsangu..anawasubiria...
 
Ata Mi Nimeshangaa Et Nimechaguliwa Diploma In Optometry {Kcmc} Lakin Jamaa Et Kaniambia Ata Sis 2nasoma Biochemestry. Xaxa Ata Diploma Et?
 
Mkuu kwa uzoefu wako unamshaurije aliyemaliza f6 miaka 10 imepita anahisi ameshasahau chemistry na amabahatika kupata bpharm 2014/15,



Aanze tu kuirudia rudia,hususan General Chemistry,Inorganic Chemistry na Organic Chemistry...hili ndio huwa tatizo kubwa kwa inservices na mwalimu hakubali excuse yoyote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…