Maajabu ya Grisi (grease) (Hidden World)

Mafuta yenye maajabu ni KY tu mengine sanaa tu

Niga from Timbuktu
 
Je ukienda pale soko la kkoo si watabaki robo tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo....Sidhani ....kama kuna ukweli kumnasa mchawi panaitajika ...Elimu kubwa ya uloz...nawala sio simple kama unavyojitanabaisha.....Muuza kahawa Tupe yule mluke.
nikweli usemalo
Ila kumbuka hapa hatutumii uchawi hapa nikucheza na nature kujua udhaifu wa kitu au mtu fulani,
Mfano ukichukua mate ya mbwa ukajipaka katika paji la uso utaweza ona wachawi
kuzuia nikwenda kunawa tu

kwahiyo sio kumnasa mchawi hapa wewe ndio utawajua maana hawataiona njia
but all in all sio lazima ukubali hili
 
Mshana Jr njooo huku tunalishwa tango poriii
Ha ha ha ha ha
Akili na mwisho wa ukomo na kujua una zigo la ujinga nipale unaaamini hauwez pata maarifa na msaada mahali pengine popote
 
Mafuta??? Me najua ukichukua tongotongo za mbwa ukajipaka usoni wachawi unawaonaa!
 
Mafuta??? Me najua ukichukua tongotongo za mbwa ukajipaka usoni wachawi unawaonaa!
Kuhusu kuona wachawi nitofauti na mada yangu hapo juu lakini ukichukua pia mate ya mbwa ukajipa katika paji la uso basi utayoyaona uwe na roho ngumu
 
Acha kusumbua watu, wewe na sisi tunatumia mafuta ya simba sasa mbona hausemi wazi.
 
Acha kusumbua watu, wewe na sisi tunatumia mafuta ya simba sasa mbona hausemi wazi.
ha ha ha nikweli ndugu ila kumbuka mambo hayo nitofauti kutokana na tamaduni na asili za watu husika wengine wanazikia sanda wengine wanaziki majeneza wengine wanatumia ngozi.
Kwahiyo kutumia kwako ngozi haina maana wa sanda anakosea wewe elezea lile unalolijua baasi inakuwa ni vyema zaidi unakuwa unasaidia wengine kwa uzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…