Maajabu ya jiji la Kampala

Watu mna mauzoefu na majiji ya watu mapema basi😄

Hivi hayo mavyakula yao tukiyafanyia "marketing" Bongo hayatakubalika?
Hapana wabongo sio wapenzi wa aina ya vyakula vya uganda, wabongo wanapenda vitu vilivyokaangwa mno, lakini mimi niko tofauti baadhi ya vyakula naipenda hasa vile natural wanachemsha, vingine wanapika wanaunga Karanga hawatumii mafuta ndio maana wanamilili cheki kinamama masokoni wanavyobeba mizigo mizito ambayo huku anabeba kuli
 
Kesho asubuhi pita tu road side upate kiazi kikubwa kabisa kama boflo cha kuchemsha na uji wa soya kikombe nusu lita, utazurura siku nzima utakula jion nakwambia vyamoto kimefunikwa na majani tu ya mgomba
 
Watoto wa mitaani wapo sana Kampala , mimi niliwashuhudia Kabalagala
 
Umenikumbusha mbali MNO!!
Kuna bar mojo ilikua mjini kati ikiitwa SEX PUB palikua ni fire 🔥. Kampala murunjinyo ssebo!!
Nitarudi.
KAZI ni kipimo cha UTU
Kuna wadada walikuwa wanacheza uchi, dah nilikulaga ada kwasababu ya starehe za KLA
 
Waganda wana miili aisee! Kuna chakula fulani sijui kinaitwaje vile, mboga ni karanga zilizosagwa na kugeuzwa kuwa mchuzi!
 
Kesho asubuhi pita tu road side upate kiazi kikubwa kabisa kama boflo cha kuchemsha na uji wa soya kikombe nusu lita, utazurura siku nzima utakula jion nakwambia vyamoto kimefunikwa na majani tu ya mgomba
🙏🙏🙏
 
I love it, nipo mkoa wa 16 sasa, 2026 nitaanza East Africa countries
 
I love it, nipo mkoa wa 16 sasa, 2026 nitaanza East Africa countries
Kama kuna tuzo zinazotolewa kwa waliofika mikoani nchini Tanzania huenda na mimi ningepata chochote, japo siyo rahisi pia. Nimebakiza mikoani miwili tu: Lindi na Mtwara ili nimalize mikoani yote ya Tanganyika! Kwa Zanzibar nimeishia Unguja. Bado sijafika Pemba!
 

NI KWAMBA KUNA MTOTO WA WAZIRI ALITUALIKA KULA CHAKULA CHA JIONI KATIKA MOJA YA MGAHAWA WA WARSAW (MJI MKUU WA POLAND) AKATUWEKEA ODA HIYO IKIWA NI MENU YA HESHIMA ILIKUWA SAVED NA MAJANI NADHANI NI SPINACHI PAMOJA NA KIPANDE CHA MKATE. MIMI NILIKULA MAJANI NA MKATE TU. HIYO NYAMA SIKUDHUBUTU KUILA KWA SABABU HAIKUWA UTAMADUNI WANGU
 
Hongera pia kwa kiua "majani" kama ng'ombe!😄

Ila kama ningekuwa wewe, inawezekana ningejaribisha hata kakipande kadogo ka nyama mbichi nione ladha yake🤣
 
Hivi Kampala kuna mitaa ya slums kama ilivyo kwa Nairobi?
Ipo lakini si kama Nairobi ni kama dar nyumba sio za mabati ni tofali nzuri za block, shida ni tope lile jekundu linanasa kwakua mvua ni muda wote mwaka mzima
 
15 --wapika chips mitaani 90% ni wanawake.
 

Mbeya Mbeya Mbeya sio kwa ubaya...
Ila pale ni dust city.
Huo ukijan hua mnauonea wap na mimi niende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…