Maajabu ya Kampala International University

Maajabu ya Kampala International University

hata cku moja cwez amin! huku ni kuchafuliana tu! mahisi alyetengeneza huu upuuz either kadisco au kafukuzwa ktka chuo hiki!!!! na pengne ndio walewale wa kusema chuo chetu n bora kuliko udom, mara tupo nafas ya ngap afrika!, wakat yeye n kilaza wa kutupwa na hajui kwmba hicho kilikuwa bora enzi hizoooo na sio leo!
tuwe wastarabu!!!!
 
Tanzania imeingia je hapa? Mbona comment yako na kinachoongelewa haviendani? Au wewe ndo upo damped cjakusoma?

Mkuu chuo hiki kiko Tanzania!! maana yangu ni kuwa Mamlaka za Elimu ya Juu haioni uozo huu??
 
Ama kweli! Watanzania ndo maana hatuendelei? We don't read, we don't do research tunaapenda shortcut kwenye kila kitu

Sent from Tanzania
 
View attachment 82960

huuu ndo mtihani wa mwanafunzi wa mwaka wa tatu........!!! kwa computer science kwa hali hii kweli tutafika....... ingekuwa pouwa sana kama serikali itavifungia vyuo vya kizembe kama hivi coz havina tija kwa watanznia

attachment.php

Aahahahaaaa.. Nimependa majibu ya huyu jamaa aliyejibu
 
Uzi wa kuharibiana, haini ingii akilini kabisa chuo kiwe na mtihani kama ule na kwa ngazi husika. Mimi nafikiri somebody did something...... Kuwaharibia "kiu"
 
Acheni uzushi nyie mm nimesoma pale ni kwel kuna mambo hayajakaa vizur katika utawala ila kufundisha wanajitahidi sana.
 
Watanzania tatizo letu tunadharau mno hata darasa la tatu nchini Uganda hawezi kutoa majibu ya hivyo.
 
Kati ya mtungaji na aliyejibu nani kaonekana dhaifu???How can someone in a third year write down such irrelevance answers??
It's a SHAME to him and the one who marked him!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wakati mjadala unaendelea, mleta uzi na wewe ni walewale tu! Hebu rejea kichwa cha habari cha uzi wako:

"Topic: hii ndo Kampala University!! embu jionee mwenyewe mtihani yao"

"ndo" unataka kumaanisha "ndiyo"? embu" unataka kumaanisha "hebu"? "mtihani yao" ulitaka kumaanisha "Mtihani wao" au "Mitihani yao"?
 
View attachment 82960

huuu ndo mtihani wa mwanafunzi wa mwaka wa tatu........!!! kwa computer science kwa hali hii kweli tutafika....... ingekuwa pouwa sana kama serikali itavifungia vyuo vya kizembe kama hivi coz havina tija kwa watanznia

attachment.php

Nilikuepo wapi jamanii nipate degree ya buree??hapa no stress unazima moto tena asubuhi kabla ya kuingia kwenye paper 38/40 ni halali
 
Japo nimesikia tetesi nyingi kuhusiana na chuo hiki, lakini kwa hili sidhani kama kuna ukweli wowote. Niliwahi kutembelea Uganda kipindi flani, Nachoweza seme, hata mtoto wa std four hawezi pewa paper kama hii. Huu ni unafiki wa kibongo kuwaharibia hawa jamaa image yao.
 
View attachment 82960

huuu ndo mtihani wa mwanafunzi wa mwaka wa tatu........!!! kwa computer science kwa hali hii kweli tutafika....... ingekuwa pouwa sana kama serikali itavifungia vyuo vya kizembe kama hivi coz havina tija kwa watanznia

attachment.php

Haiwezekani! siwezi kuamini kirahisi hivi! hata kama ni kukichafua hiyo ni too much,,, ingependeza hii ingekuwa kweye jokes aisee,, duuuh!
 
Back
Top Bottom