Pamoja na kurejesha pesa iliyochukuliwa kwa machinga; buku 20 kila kichwa.Hatumtaki hadi arudishe hekari 25000 huko karagwe
CHADEMA hatatavijenge hivyo vitu - maana hawataki maendleo ya vitu! Au hujasikia?hata chadema wataweza kujenga barabara pia tutapata uhuru na haki.
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.
JPM KUMI NA TANO TENA!
Hivi alisema ataongeza ndege ngapi vile
Hivi ile kofia yake ndio hiyo aliyovaa bodyguard au zipo nyingi na yeye kwa wakati huo alikuwa amevua?
Hatumtaki hadi arudishe hekari 25000 huko karagwe
Ispokuwa maneno mataamu ili ujisikie kama upo mahali Fulani hivi pazuuuri ukisubiri Moto wa Jehanam siyo?Sina muda wa kusikiliza ujinga mimi?
Ispokuwa maneno mataamu ili ujisikie kama upo mahali Fulani hivi pazuuuri ukisubiri Moto wa Jehanam siyo?
Maneno matamu mtayasikia Sana, tegeni masikio msiklize kile mnapenda wakati huu, na mwisho wa maneno matupu ni 28 October, Baada ya hapo Bulldozer linaendelea na kazi kama kawaida