paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Uchaguzi hauibwi, Ispokuwa Kura, we wawapi?Baada ya kukwiba uchaguzi siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi hauibwi, Ispokuwa Kura, we wawapi?Baada ya kukwiba uchaguzi siyo?
Yote tukose kwasasa tunataka uhuru na kututolea uonevuMabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.
Yote tukose kwasasa tunataka uhuru na kututolea uonevu
Sheikh unaandika vizuri aisee!
2030 akimaliza muda wake inabidi mumubane sawasawa ili azirudishe. Atawarudishia baada ya 2030 kwa sababu wakati huo atakuwa amebaki peke yake bila walinzi
2030 akimaliza muda wake inabidi mumubane sawasawa ili azirudishe. Atawarudishia baada ya 2030 kwa sababu wakati huo atakuwa amebaki peke yake bila walinzi
Hapana, ni 2025. Siyo 2030Ana mpango wa kuwapo kwa miaka 15?
Maajabu ya Firauni.
Huyu no wa kuzaa naye sasa.
Hapana, ni 2025. Siyo 2030
JPM asipofikisha 85% ban la mwaka linihusu.
MAGUFULI4LIFE.
Tangu vyama vingi vianze TZ Kuna mpinzani gani hakwenda ikulu kisa aliibiwa kura!!?Ile kwibaji ya Uchaguzi inahusiana na hii
"MAGUFULI4LIFE?"
Tangu vyama vingi vianze TZ Kuna mpinzani gani hakwenda ikulu kisa aliibiwa kura!!?
MAGUFULI4LIFE.
Watajengaje wakati wao sera yao ni maendeleo ya watu na sio vitu ebo.hata chadema wataweza kujenga barabara pia tutapata uhuru na haki.
Na ule ufisadi aliofanyia kujenga uwanja wa ndege Chato kila Mtanzania ameibiwaMabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.
Haliki huyu kwa sasa. Gogogo huwa hamezwi na sangara hata siku mojaUnadhani hiyo 2030 ni makosa?
Mbona ipo kwenye mabandiko yao mengi tu?
Siri yao twaijua huyu tunakula naye sahani moja sasa!
Haliki huyu kwa sasa. Gogogo huwa hamezwi na sangara hata siku moja
watauza madin yetuhata chadema wataweza kujenga barabara pia tutapata uhuru na haki.
watauza madin yetu
Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa hivi, wapinzani hata ukiamua kuwapatia nchi ili washike madaraka hata bila ya wao kupigiwa kura ya ushindi, wataikataa. Wao wenyewe wanaelewa hili, ila mashabaiki wao ndiyo ambao hawajui hili. Wanachofanya sasa hivi ni kwa ajili ya wabunge pamoja na kunadi ilani yao kwa ajili ya chaguzi zingine za kuanzia mwaka 2030 na kuendelea. Hali tuliyonayo kwa sasa hivi hairuhusu kubadilisha Serikali hata kwa siku moja tu, it's impossible. watabadilika wabunge, Serikali haitabadilikaUfafanuzi zaidi tafadhali.