Huyu kweli amevaa vazi la kike ila sura yake haisadifu
[emoji23] ndo za aina gani hizo mkuu..Wewe si bure utakuwa na hisia za mwendokasi!
Mi gheto navaliwa khanga moko au deraHahahaaaa wewe mkuu dera acha kabisa linakosha moyo wangu siyo hadi nilimshawishi yule wangu wa moyo awe anavaa licha ya yeye kutopendelea hapo awali saivi anavaa. Mmmh hapo sasa ndo utajua raha ya kuwa na mwanamke mwenye shepu nzuri na pako poa halafu anajua kuliinua dera lake kwa mkono wa kushoto huku kapochi kake kakiitembelea mikono yake huku na kule kwa spidi ya kawaida kuacha ile ya magu au elimu yetu!
Mkuu hii kitu mwanamke unampenda na unakuwa unanjoy sana anakuwa anajipitisha chumbani wewe ukiwa umejilaza kitandani au chini sebuleni huku ukisikiliza nyimbo za taratibu uzipendazo!Mi gheto navaliwa khanga moko au dera
Marufuku kuvaa skinny jeans
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Halafu km kajaaliwa umbo bomba inakuwa bonge la balaa hata km ni ndugu yako...Mkuu hii kitu mwanamke unampenda na unakuwa unanjoy sana anakuwa anajipitisha chumbani wewe ukiwa umejilaza kitandani au chini sebuleni huku ukisikiliza nyimbo za taratibu uzipendazo!
Ukiona tu paja la mwanamke ishu inasimama kabisa huku ikitoa cheche na hapo ndo inamvuruga jamaa kama alivyosema[emoji23] ndo za aina gani hizo mkuu..
Darasa la kupigilia pamba kijanjaUkiona tu paja la mwanamke ishu inasimama kabisa huku ikitoa cheche na hapo ndo inamvuruga jamaa kama alivyosema
Huyu ninemuelewa vizuri
Hahaha..cheche[emoji23] [emoji23]Ukiona tu paja la mwanamke ishu inasimama kabisa huku ikitoa cheche na hapo ndo inamvuruga jamaa kama alivyosema
balaa sana hata kama ulikua hutaki utataka tu[emoji4] [emoji4]Ni shida...