Maajabu ya khanga!

Maajabu ya khanga!

8ac1b7f5f1ed049944e2e6a0359f866d.jpg
 
Hahahaaaa wewe mkuu dera acha kabisa linakosha moyo wangu siyo hadi nilimshawishi yule wangu wa moyo awe anavaa licha ya yeye kutopendelea hapo awali saivi anavaa. Mmmh hapo sasa ndo utajua raha ya kuwa na mwanamke mwenye shepu nzuri na pako poa halafu anajua kuliinua dera lake kwa mkono wa kushoto huku kapochi kake kakiitembelea mikono yake huku na kule kwa spidi ya kawaida kuacha ile ya magu au elimu yetu!
Mi gheto navaliwa khanga moko au dera
Marufuku kuvaa skinny jeans
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mi gheto navaliwa khanga moko au dera
Marufuku kuvaa skinny jeans
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu hii kitu mwanamke unampenda na unakuwa unanjoy sana anakuwa anajipitisha chumbani wewe ukiwa umejilaza kitandani au chini sebuleni huku ukisikiliza nyimbo za taratibu uzipendazo!
 
Mkuu hii kitu mwanamke unampenda na unakuwa unanjoy sana anakuwa anajipitisha chumbani wewe ukiwa umejilaza kitandani au chini sebuleni huku ukisikiliza nyimbo za taratibu uzipendazo!
Halafu km kajaaliwa umbo bomba inakuwa bonge la balaa hata km ni ndugu yako...
 
Back
Top Bottom